wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,046
- 2,453
Naiona simba ikipigwa mkono kwa nungeHii mechi simba hatufungwi hata tukicheza na watoto wa waganga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naiona simba ikipigwa mkono kwa nungeHii mechi simba hatufungwi hata tukicheza na watoto wa waganga
Hapa ni kama Inonga ataingia kati kusaidia kiungo ya ukabajiFormation gan??
Utakuwa una macho mabovuNaiona simba ikipigwa mkono kwa nunge
Simba ilipigwa mkono mara mbili bado ikatinga robo fainali ikamuacha huyo Ibenge na Vita yake wanashangaa .Naiona simba ikipigwa mkono kwa nunge
Line up ya kujihami zaidi
Yeah muhimu maana kundi lishachanganya hiliLine up ya kujihami zaidi
Simba kama kawaida pointi 3 tunachukua mapema sanaLeo majira ya saa 4:00 Usiku, RS Berkane watakuwa wanawakaribisha Simba Sc katika mchezo wa tatu wa CAF Confederation Cup katika dimba la Stade Municipal de Berkane, nchini Morocco.
Katika mchezo huu, Simba itawakosa Jonas Mkude, Mugalu na Israel Mwenda kutokana na sababu mbalimbali.
Ikumbukwe, Simba wataingia katika mchezo huo wakiwa na alama 4 huku Berkane wakiwa na alama 3 katika Kundi D.
Mchezo utakuwa mubashara kupitia AzamTv pamoja na Dstv.
Updates zote utazipata hapa, Simba...Nguvu Moja
Baridi kali sana huko... inawezekanaFT
RS Berkane 6 - 2 Simba SC
RS Berkane 1 - 2 Simba SCFT
RS Berkane 6 - 2 Simba SC