Huja
JF-Expert Member
- Aug 7, 2021
- 1,167
- 1,848
Ligi ya TZ bado ...
Kila siku mechi za away tofauti ni kubwa ......Hatuchezi, hakuna pasi tatu, nne,...
tofauti na timu ngeni zikija kwa MKAPA hata kama timu za tz zikishinda bado unaona mpinzani pia kacheza...
Bado sana sisi kisaikolojia .....bado tupo nyuma sana ktk international level
Kila siku mechi za away tofauti ni kubwa ......Hatuchezi, hakuna pasi tatu, nne,...
tofauti na timu ngeni zikija kwa MKAPA hata kama timu za tz zikishinda bado unaona mpinzani pia kacheza...
Bado sana sisi kisaikolojia .....bado tupo nyuma sana ktk international level