Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Tuache utani kanuti hajagusa mpira kipindi cha kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda katika kuzululaBado tu MAKOLO wanaendelea kujiita wa kimataifa?
Nakubalinanna wewe...strategy yake kwa kweli ni mbovu.Ila huyu kocha wa Simna naonaga kama mbahatishaji tu,timu haijapiga shuti lolote golini.
Hakuna maana ya kujilinda kiasi hiki Simba sio timu ndogo kiasi chakufanya unashindwa kabisa kwenda mbele eti unajilinda.
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Beki mzuri kama utamlinganisha na ufwadu wa kagera sugar ila kwa viwango vya mwamnyeto, job, bangala na mfanano wa hao enonga anabaki kuwa densa wa kikongo tuHenonga ni beki mzuri sana wala msim judge kwa matokeo yaliyotokea
Uchebe ilikuwa akipigwa moja anafunguka mazima, hakuna haja ya kuendelea kujinda ilhali tumepigwa 2 tayari.Sio Kwa Huyu Mpumbavu. Simba Msimu Huu Tunapoteza Kila Kitu kwasababu Ya Jeuri, Wachezaji wamekaa Njee siku 10 siku zote hizo wanalipwa Lakini wanacheza kama Wametoka Kucheza Jana
Watakuita we mwongoKatika kipindi cha kwanza Makolo hawajapiga shuti hata moja katika goli la Barkane
Mkuu, unafikiri hajui hilo?Chama hana vigezo vya kucheza hayo mashindano msimu huu
Kocha mshamba huyu ...anamwachaje chama nje
😅😅😅 kumbe umebaki na mke mdogo....ndio maana uanfanya fujo Huku ukute ameshalala ...mkome kuoa watoto wabichiMke ndo huyu kaenda moroco huku nilibaki na bi mdg nimempiga 3 leo namsubiri mke apigwe 4 swafiiii
Atakua amegusa nyasi za uwanjaTuache utani kanuti hajagusa mpira kipindi cha kwanza
Tulamtimua halafu akabaki Matola, shenzi kabisa.Gomez alikuwa anajilinda.... Lakini walau timu ina posess.....lakini sio kwa style hiyo ya PABLO
Hapo vipi mkuu? PoleniHii mechi simba hatufungwi hata tukicheza na watoto wa waganga
Na iwe hivyoNaziona tano hapa