Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mpuuzi weye!😂😂😂😂😂Mzalendo anafungwa jela alafu gaidi anaachwa kuzurula marekani.
Ujinga mtupu only in Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuuzi weye!😂😂😂😂😂Mzalendo anafungwa jela alafu gaidi anaachwa kuzurula marekani.
Ujinga mtupu only in Tanzania
Mpka sasa Cha moto ameshakionaAlipokuwa uraiani alipora, alidhulumu majasho ya watu na kuwaonea sana wafanyabiashara sasa malipo hapa hapa acha apuluswe mpk abaki na hyo suruali aliyovaa tu
Yaani hata akichomoka kitaa hata buku ya soda itampa tabu kwa hali hiyo na ccm kumkumbuka sio rahisiMchangieni pesa ya wakili huyu jambazi ameishiwa hana hela ameshauza ng’ombe zote za baba yake huko Olmotonyi.
Mjane utateseka Sana kipindi hiki na sikukuu ya xmass tafuta danga la kukukampani kwani le general atakuwa kisongo anatumikia miaka 30 huku akisubiri kuongezewa miaka mingine. Gaidi wa mchongo anakula Bata kwa mrija huko mambele! Unatesekaje?Mzalendo anafungwa jela alafu gaidi anaachwa kuzurula marekani.
Ujinga mtupu only in Tanzania
Mbona anakuaga na roho ngumu sana?.Huyu akija kuchomoka huko kitaa anaanza upyalazima dishi liyumbe kwanza asipokua makini ndo maisha yanaharibika kwa depression
Umewahi hata kumtembelea Sabaya jela toka amepatwa na matatizo au unabweka tu humu JF?Mzalendo anafungwa jela alafu gaidi anaachwa kuzurula marekani.
Ujinga mtupu only in Tanzania
Lema alimtabiria kila kitu ila ndio hivyo kiburi hakusikiaKama namwona vile anavyoulaumu moyo wake kwa kutomsikiliza Lema. Laiti angejipa dk. 5 za kuyatafakari mazungumzo Yale ya Lema hakika asingekuwa gerezani leo but ndio hivyo kiburi Cha madaraka kilitamalaki na kumtia upofu wa fikra! Apambane na nduguze Sasa kwa msiba aliowapelekea!
Hapa sijaelewa rangi yako: ni kijani au bluu?Siasa za Afrika ni vituko show ,
Afrika ina viongozi wajinga , wanaotaka ukuu na sio kutumikia , wabinafsi ,
Kiongozi anashindwa kuhakikisha umeme ni wa uhakika - anaenda kupambana na mwanadamu mmoja kwa kumkomoa
Maji yana rangi gani?Hapa sijaelewa rangi yako: ni kijani au bluu?
Mzalendo anafungwa jela alafu gaidi anaachwa kuzurula marekani.
Ujinga mtupu only in Tanzania
Ccm n Cdm hawana rangi?Maji yana rangi gani?
Malipo ni hapa hapa dunianiHata sasa hivi sijafahamu nipo hapa kwa sababu gani? Hivyo sijatafuta wakili na nimetoka Moshi chini ya uangalizi wa daktari naumwa,"ameeleza Sabaya
Sabaya ameiomba mahakama hiyo wiki mbili ili aweze kujiandaa na kufanya mawasiliano na mawakili wake pamoja na familia yake.
"Mheshimiwa naomba unitendee haki nahitaji wiki mbili kujiandaa kwani nina appointment na madaktari KCMC tarehe 15, na kuna mipangilio ya malipo kwa mawakili naomba unipe muda ili haki itendwe kikamilifu," Sabaya.
Unaniuliza au unaniambia?Ccm n Cdm hawana rangi?
Kama yule mzimuMzalendo anafungwa jela alafu gaidi anaachwa kuzurula marekani.
Ujinga mtupu only in Tanzania
Wamwachie tu, tuanze upya. Sabaya aliponzwa na 'watu wabaya'...
Mstafu kamanda Kova aliwahi kusema baada ya kustafu akaachia Ofisi hata akiwapigia simu staff wenzake hawapokei simu.Sio rahisi ni wauza ngada pekee kidogo hua wanakumbukana Ila hawa wagaigai wengine ukitoka kwenye mfumo ndo basi hata jero ya soda hawakupi
Mawakili wake wameshaona ngoma nzito wamekula nduki.Akiahirisha rufaa hiyo Jaji Maghimbi amesema rufaa imepangwa kusikilizwa mfululizo kwa muda wa siku tano na wakili wa Sabaya hajatoa taarifa yoyote kwa mahakama hivyo rufaa hiyo kuanza kusikilizwa kesho Desemba 13.