Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Ccm wameamua kumkomoa kada mwenzaoHuyu akija kuchomoka huko kitaa anaanza upyalazima dishi liyumbe kwanza asipokua makini ndo maisha yanaharibika kwa depression
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm wameamua kumkomoa kada mwenzaoHuyu akija kuchomoka huko kitaa anaanza upyalazima dishi liyumbe kwanza asipokua makini ndo maisha yanaharibika kwa depression
Kama namwona vile anavyoulaumu moyo wake kwa kutomsikiliza Lema. Laiti angejipa dk. 5 za kuyatafakari mazungumzo Yale ya Lema hakika asingekuwa gerezani leo but ndio hivyo kiburi Cha madaraka kilitamalaki na kumtia upofu wa fikra! Apambane na nduguze Sasa kwa msiba aliowapelekea!
Siasa za Afrika ni vituko show ,
Afrika ina viongozi wajinga , wanaotaka ukuu na sio kutumikia , wabinafsi ,
Kiongozi anashindwa kuhakikisha umeme ni wa uhakika - anaenda kupambana na mwanadamu mmoja kwa kumkomoa
Mawakili wake wameshaona ngoma nzito wamekula nduki.
Sabaya anawatafuta hawapati🤣🤣🤣
Unadhani Mbowe akipewa nchi , kutatuondolea shida au itakuwa ni shida juu ya shidaM
Seriakli ya CCM imamkomoa mwanachama wa CCM.
Hapo shida ni pesa ndio maana kasema Hakimu ampe muda shughulikie malipo ya mawakili wake.Naona wameshindwana kwenye malipo na mawakili wake.
Lumumba fc at work.Unadhani Mbowe akipewa nchi , kutatuondolea shida au itakuwa ni shida juu ya shida
Hawa wapinzani walishapewa nafasi za juu serikalini , lakini hakukuwa na mabadiliko
wao na ccm ni wale wale tu
Mi na siasa ni vitu viwili tofauti,Lumumba fc at work.
Lugha ngumu umetumia! "Cha msingi ashinde rufaa zote mbili. Maana akianguka itabidi akate rufaa yeye" hapa maana yake nini?W
Watamwachia baada ya kujifunza kwamba kiburi na dharau ni anguko. Cha msingi ashinde rufaa zote mbili. Maana akianguka itabidi akate rufaa yeye.
Wewe ni mzigo wa shit! Ubongo wako Umejaa funza! Ukoo wako na familia yako wamepata hasara kubwa Sana! Bora ungebakia fb kwa wapumbavu wenzako ashakum si matusi! Hufai hata kuwa kiongozi wako mwenyewe licha ya familia yako!Mzalendo anafungwa jela alafu gaidi anaachwa kuzurula marekani.
Ujinga mtupu only in Tanzania
Hivi kweli, alishindwaje ku bagain na Dpp akatemwa pamoja na wenzake ama ndiyo kiburi chenyewe hicho?Shida hata wakimtoa gerezani huku uraiani watampiga shaba, bora azekee huko kwaajili ya uhai wake. Kumbuka wenzake walishamchoma wakaachiwa kwa hivyo ana hali ngumu.
Sasa hapa jukwaa la siasa unafanya nini? We mnafiki wa lumumbaMi na siasa ni vitu viwili tofauti,
Mi ni Mkristu - Sio follower wa mtu yoyote , coz wote mnaigiza, hamuishi katika reality
Mbowe anajiita mzalendo , alafu mwanawe anambadilisha urai
Kwanini asikubali yaisheSabaya ambaye leo pia alikuwa na kesi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, ameomba kuahirisha kwa kesi hiyo kwa sababu hakuwa na uwakilishi wa mawakili mahakamani hapo.
Ok, mpambania tumbo,Sasa hapa jukwaa la siasa unafanya nini? We mnafiki wa lumumba
Mbona wakati FAM akipambana na kesi ya mchongo ya Ugaid hukuishangaa serikali kutumia mabilioni ya fedha kuwalipa mashahidi wa mchongo pamoja na posho za jaji kila siku na kuzielekeza katika kuboresha hali ya maisha ya watanzania? Do you people think before uttering words? Hapo hakuna kiongozi anayepambana nae kinachofanyika ni mfumo wa utoaji haki (mahakama ) unatimiza wajibu wake. Mwisho wa siku kama hana hatia justice will be served ! Period ukiambiwa intake kiongozi anayemweka bwana mdogo katika Hiyo dhahama utamtaja?Siasa za Afrika ni vituko show ,
Afrika ina viongozi wajinga , wanaotaka ukuu na sio kutumikia , wabinafsi ,
Kiongozi anashindwa kuhakikisha umeme ni wa uhakika - anaenda kupambana na mwanadamu mmoja kwa kumkomoa
Hivi yule gaidi alisamehewa au alishinda kesiMbona wakati FAM akipambana na kesi ya mchongo ya Ugaid hukuishangaa serikali kutumia mabilioni ya fedha kuwalipa mashahidi wa mchongo pamoja na posho za jaji kila siku na kuzielekeza katika kuboresha hali ya maisha ya watanzania? Do you people think before uttering words? Hapo hakuna kiongozi anayepambana nae kinachofanyika ni mfumo wa utoaji haki (mahakama ) unatimiza wajibu wake. Mwisho wa siku kama hana hatia justice will be served ! Period ukiambiwa intake kiongozi anayemweka bwana mdogo katika Hiyo dhahama utamtaja?
Nina mashaka na mambo yafuatayo kuhusu wewe:Hivi yule gaidi alisamehewa au alishinda kesi
Kama umesamehewa , basi unahatia ,
Coz huwezi ukasemehewa kama huna kosa
Hela imekataMawakili wake wameshaona ngoma nzito wamekula nduki.
Sabaya anawatafuta hawapati[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila na wao wamekatiwa rufaa kwenye kesi iliyowafunga maisha, hivyo na wao watarudishwa kusikiliza rufaa yaoShida hata wakimtoa gerezani huku uraiani watampiga shaba, bora azekee huko kwaajili ya uhai wake. Kumbuka wenzake walishamchoma wakaachiwa kwa hivyo ana hali ngumu.