Rufaa dhidi ya Sabaya ngoma ngumu bado

Rufaa dhidi ya Sabaya ngoma ngumu bado

Hapo shida ni pesa ndio maana kasema Hakimu ampe muda shughulikie malipo ya mawakili wake.
Namuona huruma msabato mwenzangu. Maana inaonesha hana hata mia kwa sasa, hizo hela ukute ni za familia kujichanga. Mawakili wamekaza
 
Nina mashaka na mambo yafuatayo kuhusu wewe:
-Umri wako na Jambo linalojadiliwa.
-Uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mambo kwa uhalisia na ukweli wake
Tunarudi pale pale , kuwa alisamehewa kutokana ana makosa,

Kama asingekuwa na kosa , angeshinda kesi mahakamani
 
Tunarudi pale pale , kuwa alisamehewa kutokana anamakosa,

Kama asingekuwa na kosa angeshinda kesi mahakamani
Acha haraka som vizuri nilichoandika ndio ujibu! Au ubongo wako ni wa kuku usioweza kujadili mambo mazito?
Kuna namna unaweza kutusaidia lini Mahakama ilimtia Hatiani FAM kwa kesi ya Terrorism?

Tukikuomba ulete hapa JF rulling au hukumu ya mahakama na Majaji waliomtia hatiani na kwamba alihukumiwa Miaka mingapi gerezani na gereza aliloanza kutumikia na alitumikia kwa Miaka mingapi au siku ngapi utaleta?

tukikutaka ulete hapa siku tarehe na siku ambayo Rais alitangaza Msamaha kwa FAM na wenzake na kuwatoa gerezani kama ilivyokua kwa Babu Seya alivyosamehewa na JPM utafanya hivyo?

kama Hayo yote huwezi kufanya wewe ni mpumbavu (ashakum) si matusi!
 
kama Hayo yote huwezi kufanya wewe ni mpumbavu (ashakum) si matusi!
Hakuna haja ya kutumia nguvu,
Umesamehewa dhambi - maana ulikuwa mdhambi

Haitaji elimu ya chuo changanua hili
 
Hakuna haja ya kutumia nguvu,
Umesamehewa dhambi - maana ulikuwa mdhambi

Haitaji elimu ya chuo changanua hili
Mbona una haraka na hujibu hoja ninazokuwekea! Kuna mtu anasamehewa bila kutiwa hatiani! Na je msamaha unakua nadharia tu?
 
Unadhani Mbowe akipewa nchi , kutatuondolea shida au itakuwa ni shida juu ya shida

Hawa wapinzani walishapewa nafasi za juu serikalini , lakini hakukuwa na mabadiliko,
wao na ccm ni wale wale tu
Tutajie wapinzani japo watatu tu waliowahi kupewa nafasi za juu serikalini.... Nami nitakuonesha nguzo ya umeme inayozaa mapapai....
 
Nina mashaka na mambo yafuatayo kuhusu wewe:
-Umri wako na Jambo linalojadiliwa.
-Uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mambo kwa uhalisia na ukweli wake
-kiwango chako Cha elimu na kama ulienda shule kupata maarifa ya kukusaidia wewe na Jamii inayokuzunguka au ulihudhuria tu madarasa!
-Na kama WAZAZI wako waliuza NG'OMBE WAKAPELEKA NG'OMBE ingine shule.
Nakujibu:
Katika mfumo wa utoaji haki Tanzania mahakama haina mamlaka ya kutoa msamaha kwa mtuhumiwa Bali humwachia huru pale ushahidi unaposhindwa kumtia hatiani au aliyeshtaki anapoonesha nia ya kutoendelea na Shauri.

Raisi ana mamlaka kisheria kwa baadhi ya makosa kuyatolea msamaha (parole) na sio makosa yote

DPP alionesha Nia ya kutotaka kuendelea na kesi ya FAM kwa sababu anazozijua yeye na sio kwamba alitoa msamaha kwani hama mamlaka Hayo,

FAM hakusamehewa kwa sababu Jamhuri haikumtia hatiani hata kidogo, Ila katika mfululizo wa kesi alionekana ana kesi ya kujibu. Jamhuri haikutaka ajibu kesi yenyewe kwani majibu yake (utetezi) ungeitia aibu Tanzania sio nyumbani tu hata kwenye Jumuiya ya Kimataifa!

DPP akaamua kuwithdraw akamwaga nje. Nimekujibu mpumbavu mmoja Wewe (ashakum si matusi)
Umetumia nguvu nyingi sana kukaelewesha hako kapumbavu... Mashaka yangu ni kwamba pamoja na nguvu zote hizo kanaweza kasikuelewe...

Ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa ili acheze reggae...
 
Huyo dogo ana kiburi wacha anyooshwe.

Ndugu pamoja na mzaz wake walikuwa wanashinda mitandaoni na mahakamani wakilia na kumuombea msamaha aachiwe,

Kama bahati wakapewa option ya ku bargain wenzake wakaingia deal wako huru yy akajitia kiburi kukomaa.

So wacha ale matunda ya udhalimu wake after all jamii haimuhitaji tena akiwa uraiani

Na akifanya masikhara Christmas na mwaka mpya atasherehekea akiwa lupango.

I wish him mery Christmas and new year in advance [emoji3061]
 
Umetumia nguvu nyingi sana kukaelewesha hako kapumbavu... Mashaka yangu ni kwamba pamoja na nguvu zote hizo kanaweza kasikuelewe...

Ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa ili acheze reggae...
Vinatia kinyama hivi vivulana vinavyookoteza hekaya za vijiweni na kuja kujadili kwenye platform ambazo watu wanafikiri kwanza, wanatafiti na kutoa taarifa au hoja zisizo na ukakasi
Vingi vinatikea jamhuri ya favebook
 
Mstafu kamanda Kova aliwahi kusema baada ya kustafu akaachia Ofisi hata akiwapigia simu staff wenzake hawapokei simu.
Watu wanathamini nafasi uliyonayo kwa wakati huo na inamsaada Gani kwao siku nafasi ikiondoka basi huna umuhimu tena
 
Back
Top Bottom