Rufiji: Vijiji 23 vimekumbwa na mafuriko makubwa kutoka Bwawa la Umeme la JNHPP. Je, Tathmini ya athari kwa mazingira ilipuuzwa kabla ya ujenzi?

Hakuna kitu alikiasisi Magufuli hakijaleta madhara kwa wananchi.
Yule Mzee ni laana kabisa.
Kila maamuzi aliyofanya yaligharimu maisha na uhai wa Watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…