King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Ok nimeelewa.Mafuriko Yako miaka yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok nimeelewa.Mafuriko Yako miaka yote
Mbona johnthebaptist anasema kwamba mafuriko yapo miaka yote hata kabla ya kujengwa JNHPP?Vijiji 23 si kidogo , hili ni janga kubwa mno ! Wazungu waliona haya mapema tukawapuuza na kuwaita mabeberu
Hii changamoto tuipokee positively. Umeme tunautaka kama taifa, kwa ustawi wa jamii nzima wakiwemo hao wanaokumbwa na yatokanayo na mradi huo wa umeme. Sasa basi jukumu la custodian wa jamii kuhakikisha usalama na ustawi wa wahanga.Tulionya tukapuuzwa
Mbele ya mwendazake MTU angediriki kufanya upembuzi hasi?Vp wale wazee wa visibility study sijui upembuzi yakinifu hawakufanya mambo yao!
Ova
Hakikahao wahame tu kwa usalama wao, wapewe fidia wasepe...bwawa lenyewe tunasikia mara lina ufa kibao....wahame tu wataoga sana hapo
Hivi umefanya tathmini kujua hao watu wapo hapo tokea lini? kuna mambo tusiyaangalie kiushabiki kama walikuja baada ya Bwawa kujengwa sawa wanamakosa ila kama Bwawa limejengwa wao walikuwa hapo toka zamani basi kuna swala la kijografia hapo ule mto kama unajua vyema huwa unapotea njia sanaUmesha ambiwa hilo ni bonde bado unaenda kujenga, mtoa mada huna akili kama hao wanakijiji waliojenga bondeni.
Najua nachokisema ndugu maana nimeishi huko ndio maana nasema hivyo.Maji hayapandi mlima shehe, hao wamejenga bondeni.
Well saidNatoa tu angalizo kwa Sababu waliokuwa wanafungulia Mtera Ili Wauze Majenereta hatuwajui
Msemakweli Mpenzi wa Mungu
Kwako Lucas wilayani Vwawa 😄😄
Acha ujinga,ungesoma hata mada uelewe.Amesema tulifukiri tatizo litakwisha maana yake lilikuwepo , na sio matokeo ya mradi. Pili amesema labda ukikamilika tatizo litakwisha
Hasira za nini ndugu wakati wa majanga?ona huyu kahaba nae sasa nyie mnapinga kila kitu?
Shida yake ni mkurupukaji,hakuna jambo amewahi fanya Kwa ufanisi.Yule mzee kila alipotia Mkono wake ni mabalaa, nuksi na majanga tu.
Hahaha......hata bila mahesabu unajua tu ni kiduchuMillion 40 kwa kaya 1000 kila kaya elfu 40.
Quick Math.