Verrazanno
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 454
- 1,011
Umejuaje bwawa limeongeza ukubwa wa tatizo ?Acha ujinga,ungesoma hata mada uelewe.
Tatizo lilikuwepo na mojawapo ya sababu za kujenga bwawa tuliambiwa litadhibiti Mafuriko badala yake limeongeza Ukubwa wa tatizo.
Ukurasa wa TAMISEMI Muandishi anaandika kitoto sana "Hali kadhalika" anaadika "Alikadhalika"..... Upuuzi mtupu.
Ushasema bonde la mtokwenye blonde la mto Rufiji
Hao wazungu mmewafanya miungu. Hakuna maendeleo yasiyo na changamoto. Tunahitaji kukabiliana na changamoto huku tukifanya maendeleo na kusonga mbele. Maisha ya ombaomba tuyakatae. Lawama zipo tu.....Vijiji 23 si kidogo , hili ni janga kubwa mno ! Wazungu waliona haya mapema tukawapuuza na kuwaita mabeberu
Inasikitisha sana kusoma kwamba Zaidi ya Vijijini 23 Wilayani Rufiji vilivyopo kwenye blonde la mto Rufiji Vimekumbwa na Mafuriko Makubwa ya maji kutoka bwawa la umeme la Nyerere.
Vijiji hivyo viko kwenye kata 12 Zenye kaya zaidi ya 1,000 ambapo makazi,mashamba,mazao na Mali nyingine vimegaribiwa vibaya na Mafuriko hayo.
Ikumbukwe njia ya mwongo Huwa ni fupi.Wakati wa Ujenzi wa bwawa hili tuliambiwa pamoja na mambo mengine eti ujenzi wake utadhibi Mafuriko ya mara Kwa mara huko lower Rufiji basin lakini imekuwa kinyume chake kwani Mafuriko ndio yameongezeka na Haki kuwa mbaya zaidi maana maji yanakuja Kwa Wingi na Kasi kubwa.
Ni vyema ikaeleweka kwamba kabla ya kufanya mradi wowote ni vyema athari Kwa mazingira ikafanyika ila Kwa bwawa hili inaelekea jambo hili lilipuuzwa.
Ikumbukwe kwamba miradi yeyote iwe ya kiuchumi au kijamii Huwa inalenga kuleta ustawi Kwa jamii husika ila ikiwa kinyume chake haifai au njia mbadala lazima zitafutwe.
View attachment 2953636
View attachment 2953637
View attachment 2953638
---========
MCHENGERWA ATOA MIL.40/- KUSAIDIA WANANCHI WA RUFIJI WALIOKUMBWA NA MAFURIKO
Na Projestus Binamungu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Rufiji mkoani Pwani Mhe. Mohamed Mchengerwa, ametoa Sh.milioni 40 kwa ajili ya kusaidia ununuzi wa mbegu kwa zaidi ya wakazi 1,000 wa maeneo mbalimbali ya wilaya ya Rufiji ambao mali, mashamba na makazi yao yameathiriwa na mafuriko ya maji, yaliyofunguliwa kutoka bwawa la uzalishaji umeme la Mwalimu Nyerere.
Akizungumza na wakazi hao mara baada ya kufanya ziara ya kukagua athari ya mafuriko hayo katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo, Waziri Mchengerwa amesema analazimika kutoa kiasi hicho cha pesa ili kuwatia moyo wakazi hao kurejea shambani kulima upya baada ya mazao yao kusombwa na mafuriko hayo.
“Hili ni janga letu sote mimi na nyinyi, tuliamini kwamba ujenzi wa JNHPP utakuwa mkombozi wa mafuriko ambayo yamekuwa yanatukumba mara kwa mara lakini kwa bahati mbaya bado imejitokeza, tuendelee kuwa na Imani kwamba mradi ukikamilika uwenda changamoto hii ikawa imetatuliwa” alisema Waziri Mchengerwa.
View attachment 2953643
Aliongeza kuwa “ Ninafahamu fika namna wakazi wa Rufiji mlivyokuwa mmelima kwelikweli mwaka huu, ninaomba turejee shambani tulime tena vilevile kwa kiwango kikubwa, mimi ninamkabidhi Mkuu wa wilaya shilingi milioni 40 kwa kuanzia kwa ajili ya kusaidia ununuzi wa mbegu ili turejee shambani tupande tena tusije kufa kwa njaa.”
Alikadhalika Waziri Mchengerwa ametoa wito kwa taasisi na mashirika ya misaada ya kibinadamu Pamoja na wasamalia wema kuguswa na hali ya Warufiji kwa kuwashika mkono kwa namna moja au nyingine katika kipindi hiki ambacho serikali ya wilaya inaendelea na ufuatiliaji na tathimini ya athari za mafuriko hayo kwa ujumla.
“Ukweli niseme kiasi hiki cha milioni 40 nilikuwa nimekidunduliza kutoka kwenye mshahara wangu kwa ajili ya kuhakikisha tunakuwa na futari ya Pamoja katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan kama tunavyofanya kila mwaka, lakini kwa hali hii ya mafuriko niseme tu kwamba futari si kitu nalazimika kutoa kiasi hiki kwa ajili ya ununuzi wa mbegu na nitaenda kuwaomba marafiki zangu wanichangie angalau tufikishe milioni …..
My Take
Kwa hili la Rufiji, Serikali ihamishe Wananchi na iwalipe fidia kama inavyofanya Ngorongo Kwa Masai Kwa sababu maslahi na Haki zao zilikiukwa Kwa kutofanya EIA kama sheria za Nchi na Kimataifa zinavyotaka.
Tunapenda Umeme ila sio Kwa utaratibu huu.
View: https://www.instagram.com/p/C5S-mCZiN5p/?igsh=aWpqb2Vkbzl3cmFn
Kwa kuwapeleke maafuriko au sio?Kwanza kabisa inabidi wamshukuru sana mama mdogo wa Kizimkazi maana anaupiga mwingi
Yaani nyinyi makuku mna upumbavu mwingi sana.Ukiona zaidi ya miaka 50 kitu hakijafanyika afu we unakuja kifanya jitafakari sana
Ndio Wasomi wenu hao 😁😁Ukurasa wa TAMISEMI Muandishi anaandika kitoto sana "Hali kadhalika" anaadika "Alikadhalika"..... Upuuzi mtupu.
Ni hao hao kukiwa na mgao wa umeme wanapiga kelele kama injini mbovu.... Akili wamezikalia..... Hawajawahi toa njia za kukabiliana na kutatua changamoto... Wao ni malalamiko tu....ona huyu kahaba nae sasa nyie mnapinga kila kitu?
Kuna cenge huko juu limesema jamaa hakufikiri sawa sawa.Ku Sacrifice Vijiji kadhaa kwa ajili ya Nchi kupata Umeme wa uhakika mimi naona kwa mtazamo wangu sio mbaya ila tu wahamishwe na walipwe fidia yao bila kudhulumiwa hata shilingi.
Wajinga wanamsifu DIKTETA Mwendazake wanasema alikuwa na maamuzi. Kuwa na maamuzi ni kitu kimoja lakini kuwa na maamuzi ya KIJINGA ni kitu cha hovyo sana.Inasikitisha sana kusoma kwamba Zaidi ya Vijijini 23 Wilayani Rufiji vilivyopo kwenye blonde la mto Rufiji Vimekumbwa na Mafuriko Makubwa ya maji kutoka bwawa la umeme la Nyerere.
Vijiji hivyo viko kwenye kata 12 Zenye kaya zaidi ya 1,000 ambapo makazi,mashamba,mazao na Mali nyingine vimegaribiwa vibaya na Mafuriko hayo.
Ikumbukwe njia ya mwongo Huwa ni fupi.Wakati wa Ujenzi wa bwawa hili tuliambiwa pamoja na mambo mengine eti ujenzi wake utadhibi Mafuriko ya mara Kwa mara huko lower Rufiji basin lakini imekuwa kinyume chake kwani Mafuriko ndio yameongezeka na Haki kuwa mbaya zaidi maana maji yanakuja Kwa Wingi na Kasi kubwa.
Ni vyema ikaeleweka kwamba kabla ya kufanya mradi wowote ni vyema athari Kwa mazingira ikafanyika ila Kwa bwawa hili inaelekea jambo hili lilipuuzwa.
Ikumbukwe kwamba miradi yeyote iwe ya kiuchumi au kijamii Huwa inalenga kuleta ustawi Kwa jamii husika ila ikiwa kinyume chake haifai au njia mbadala lazima zitafutwe.
View attachment 2953636
View attachment 2953637
View attachment 2953638
---========
MCHENGERWA ATOA MIL.40/- KUSAIDIA WANANCHI WA RUFIJI WALIOKUMBWA NA MAFURIKO
Na Projestus Binamungu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Rufiji mkoani Pwani Mhe. Mohamed Mchengerwa, ametoa Sh.milioni 40 kwa ajili ya kusaidia ununuzi wa mbegu kwa zaidi ya wakazi 1,000 wa maeneo mbalimbali ya wilaya ya Rufiji ambao mali, mashamba na makazi yao yameathiriwa na mafuriko ya maji, yaliyofunguliwa kutoka bwawa la uzalishaji umeme la Mwalimu Nyerere.
Akizungumza na wakazi hao mara baada ya kufanya ziara ya kukagua athari ya mafuriko hayo katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo, Waziri Mchengerwa amesema analazimika kutoa kiasi hicho cha pesa ili kuwatia moyo wakazi hao kurejea shambani kulima upya baada ya mazao yao kusombwa na mafuriko hayo.
“Hili ni janga letu sote mimi na nyinyi, tuliamini kwamba ujenzi wa JNHPP utakuwa mkombozi wa mafuriko ambayo yamekuwa yanatukumba mara kwa mara lakini kwa bahati mbaya bado imejitokeza, tuendelee kuwa na Imani kwamba mradi ukikamilika uwenda changamoto hii ikawa imetatuliwa” alisema Waziri Mchengerwa.
View attachment 2953643
Aliongeza kuwa “ Ninafahamu fika namna wakazi wa Rufiji mlivyokuwa mmelima kwelikweli mwaka huu, ninaomba turejee shambani tulime tena vilevile kwa kiwango kikubwa, mimi ninamkabidhi Mkuu wa wilaya shilingi milioni 40 kwa kuanzia kwa ajili ya kusaidia ununuzi wa mbegu ili turejee shambani tupande tena tusije kufa kwa njaa.”
Alikadhalika Waziri Mchengerwa ametoa wito kwa taasisi na mashirika ya misaada ya kibinadamu Pamoja na wasamalia wema kuguswa na hali ya Warufiji kwa kuwashika mkono kwa namna moja au nyingine katika kipindi hiki ambacho serikali ya wilaya inaendelea na ufuatiliaji na tathimini ya athari za mafuriko hayo kwa ujumla.
“Ukweli niseme kiasi hiki cha milioni 40 nilikuwa nimekidunduliza kutoka kwenye mshahara wangu kwa ajili ya kuhakikisha tunakuwa na futari ya Pamoja katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan kama tunavyofanya kila mwaka, lakini kwa hali hii ya mafuriko niseme tu kwamba futari si kitu nalazimika kutoa kiasi hiki kwa ajili ya ununuzi wa mbegu na nitaenda kuwaomba marafiki zangu wanichangie angalau tufikishe milioni …..
My Take
Kwa hili la Rufiji, Serikali ihamishe Wananchi na iwalipe fidia kama inavyofanya Ngorongo Kwa Masai Kwa sababu maslahi na Haki zao zilikiukwa Kwa kutofanya EIA kama sheria za Nchi na Kimataifa zinavyotaka.
Tunapenda Umeme ila sio Kwa utaratibu huu.
View: https://www.instagram.com/p/C5S-mCZiN5p/?igsh=aWpqb2Vkbzl3cmFn
Loliondo Ili Hifadhi isife maana ni lifetime asset,kibwawa kinaweza kupasuka au kusitishwa matumizi endapo kero zitazidi.Yaani nyinyi makuku mna upumbavu mwingi sana.
Kwahiyo hili bwawa na uwekezaji wa kiarabu kule loriondo kipi kinafaa kuhamisha watu???
Hilo ni swali au jibu? Nguvu ya maji yaliyokusanywa na maji ya kawaida ipi Huwa na madhara zaidi?Umejuaje bwawa limeongeza ukubwa wa tatizo ?
Wapi imeripotiwa bwawa limeongeza ukubwa wa tatizo ??
Ni aibu hata kukufananisha na ng'ombe,namkosea adabu.Loliondo Ili Hifadhi isife maana ni lifetime asset,kibwawa kinaweza kupasuka au kusitishwa matumizi endapo kero zitazidi.
Acha wenge za kijinga, Loliondo watu wanahamasishwa Kwa staha na Haki za binadamu zinazingatiwa sio sawa na huku ambako mumewatelekeza wafe kana kwamba hawana Haki ya kuishi.
Kwa nini hamkufanya EIA Sasa mnasababisha madhara Kwa binadamu kiasi hiki?Ni aibu hata kukufananisha na ng'ombe,namkosea adabu.
Ni kweli kabisa. Labda walipumzika wakati bwawa linajazwa maji. Lakini hilo bonde lina historia ya kupatwa na mafuriko hasa kipindi cha masika....Mbona johnthebaptist anasema kwamba mafuriko yapo miaka yote hata kabla ya kujengwa JNHPP?
Serikali ina mamlaka kwa kijiji au eneo lolote kama ina matumizi yenye tija kwa taifa ama eneo husika zaidi ya yaliyopo.Kwa nini hamkufanya EIA Sasa mnasababisha madhara Kwa binadamu kiasi hiki?
Huko Ngorongo umesikia mtu amefurushwa?