Rufiji: Vijiji 23 vimekumbwa na mafuriko makubwa kutoka Bwawa la Umeme la JNHPP. Je, Tathmini ya athari kwa mazingira ilipuuzwa kabla ya ujenzi?

Na hao wazungu wanaowazungumzia hata siku moja hawatapenda kuona tunajitosheleza/tunajitegemea. Wanataka kuona tunaishi maisha ya ombaomba. Ndio hao sasa wanatuletea mambo ya kipuuzi kama LGBTQ.
 
Pamoja na umeme kwani bwawa lililenga nini Kingine tofauti na kudhibiti Mafuriko?

Limeongeza Mafuriko Kwa sababu EIA haikufanyika,hakuna excuses hapo
EIA ilifanyika kiongozi... Na ilitoa way forward kwa changamoto zinazotarajiwa.....
 
Ukiona zaidi ya miaka 50 kitu hakijafanyika afu we unakuja kifanya jitafakari sana
Kwa hiyo hayo mafuriko ya watu au wakazi 951 ndiyo yangefanya tusijenge bwawa, ingekuwa wewe ni raisi usingejenga bwawa kisa tuu watu 951 ?!
Simple tuu lipa fidia hamisha watu hao, peleka mbali kabisa huko. Hilo eneo la mafuriko acha wazi au tafuta kitu kingine cha tija wekeza hapo, sehemu Nyingine weka mashamba ya umwagiliaji walime mpunga wa kutosha kushusha bei ya mpunga na mazao mengine jiji la dar es salaam upunguze gharama za maisha.
Bwawa li a faida kubwa mnooo tena sanaa kuliko hata hiyo hasara ya hao wakazi 951 sijui, ni suala la hao watu kulipwa fidia na kuondoka hilo eneo kodi si tunalipa watz, shida iko wapi sasa ?!
Hao hawaku jenga bwawa miaka yote hiyo 51 sababu ya kukosa hela au UOGA.
ILA MWAMBA NI MMOJA TUU MPAKA SASA HIVI HATA KAMA AMESHA KUFA NAYE NI MAGUFULI.
Unajua ni miradi mingapi mingine angejenga yule mwamba ambayo watangulizi wake waliogopa sababu ya mabepari kama angekuwa hai mpaka sasa hivi ?!
 
Mbona kama sio Tanzania?

Yaani wanafungulia maji makusudi yakalete mafuriko? Si wangewajulisha tu wananchi wahame kabisa, kwa hali hiyo nadhani wafanye hao wakazi wahame kbs ukanda huo vinginevyo tutakuja kusikia maafa makubwa zaidi.
 
Mbona kama sio Tanzania?

Yaani wanafungulia maji makusudi yakalete mafuriko? Si wangewajulisha tu wananchi wahame kabisa, kwa hali hiyo nadhani wafanye hao wakazi wahame kbs ukanda huo vinginevyo tutakuja kusikia maafa makubwa zaidi.
Haikuwa makusudi,mamitambo lijaa matope na ndio chanzo Cha umeme kukata Nchi nzima πŸ˜†πŸ˜†
 
We ni wa kupuuzwa, chuki uliyonayo ni kubwa mno mpaka inakutoa akili. Kwani ndo mara ya kwanza vijiji hivyo kukumbwa na mafuriko? Faida ya Bwawa huwezi kulinganisha na hasara itokanayo na mafuriko hayo hata robo. Chuki hupunguza uwezo wa kufikiri.
Endelea kumuabudu, lkn ndo kisha kufa na mtambo umezimwa
 
kwahiyo kama hizo athari zisingpuuzwa ndio ingekuwaje? Si mlisema miti ikikatwa mvua hazitanyesha, haya , maji hayo hapo sasa
 
Na hii ndiyo imesababisha mtambo kuzimwa. Ccm huwa wanakurupuka sana.

Jiwe alikuwa hasmbiliki mshenzi yule. Yako wapi sasa? Legacy ziiiiii!!
Usiwe kama kahaba wewe, wallipozima ni Kidatu..
 
Ipi hiyo way forward?
Mradi mkubwa kama huo haiwezekani ufanyike bila EIA..... Final report huwa na mapendekezo mbalimbali. Ambapo katika situation kama hiyo Evacuation, Dredging construction of Dykes etc as a way forward.....
 
Hii utaambiwa ni fake news
Mafuriko kumbe yalikuwepo kabla.
Kwa maana hiyo bwawa la JHNPP halikusababisha mafuriko na kwamba bwawa ni dogo mpaka maji yameongezeka na kusambaa vijijini.
Suluhisho kumbe ilikuwa ni kujenga bwawa kubwa zaidi ya kuhifadhi maji kwa muda mrefu au kujenga jengine litalotumia maji mpaka kusiwe na mafuriko.
Sasa lawama iko wapi?.Huyo mto una fursa kubwa ya kumaliza tatizo la umeme na kuzalisha wa ziada ukauzwa kote Afrika.
 
... INATAKIWA KAZI YA ZIADA KUDHIBITI MAFURIKO KWA KUJENGA MATUTA-VIZUIZI KARIBU NA KILA MAKAZI YA WATU, MAENEO UNAPOPITA MTO HUO!
FIDIA KWA WAATHIRIKA NI MUHIMU INAPODHIBITIKA KUWA MADHARA YALIYOTKEA SIO NATURAL, YAANI NI YALIYOTOKANA NA UZALISHAJI WA UMEME!

NB: MAFURIKO RUFIJI SIO KITU KIGENI, MAANA HATA WAKATI BWAWA HALIJAKAMILIKA,MIAKA YA KARIBUNI KULIKUWA NA MAFURIKO KAMA HAYO, AU HATA ZAIDI !
... JE NI KWELI HAYA MAFURIKO YA SASA NI KWA SABABU YA UZALISHAJI WA UMEME? ... HAIINGII AKILINI KWAMBA KILA UKIZALISHWA UMEME BASI KUTOKEE MAFURIKO, IKIWA NA MAANA MAJI YA MTO YANAZIDI KIASI CHA KAWAIDA! ... MAANA KAMA NI KWELI UZALISHAJI UMEME UNATOA MAJI YANAYOSABABISHA MAFURIKO BASI HATA HILO BWAWA HALIWEZI KUTUNZA MAJI YA KUZALISHA UMEME MWAKA MZIMA!
πŸ’₯πŸ’₯πŸ’₯ ... ISIJE IKAWA MVUA TU ZIMEZIDI HUKO BARA NA HILO LA MAJI YA KUZALISHA UMEME LIKAWA TU NYONGEZA NDOGO!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…