Rufiji: Vijiji 23 vimekumbwa na mafuriko makubwa kutoka Bwawa la Umeme la JNHPP. Je, Tathmini ya athari kwa mazingira ilipuuzwa kabla ya ujenzi?

Mradi mkubwa kama huo haiwezekani ufanyike bila EIA..... Final report huwa na mapendekezo mbalimbali. Ambapo katika situation kama hiyo Evacuation, Dredging construction of Dykes etc as a way forward.....
Mbona bwawa linaleta Mafuriko kama hayo yalifanyika?
 

Hata mimi navyojua kwamba Dams ni moja ya Flood Control sasa inakuwaje effect imekuwa kubwa baada ya kujenga JNHPP? Kuna kitu hawakuzingatia hao mainjinia ,wangetafuta kampuni iliyojenga TVA - Tennessee Valley Authority.
 
Mbona bwawa linaleta Mafuriko kama hayo yalifanyika?
Mafuriko hayakuwa ni malengo ya mradi.... Lakini nisehemu ya matokeo ambayo hayakutarajiwa.... Au kinga haikutiliwa mkazo..... Lakini changamoto hiyo haiondoi umuhimu wa mradi....
 
Kwani hakukufanyika tathimini ya athari ya mazingira (environmental impact assessment (EIA))?
Kwa mradi mkubwa hivyo na ambao unaathari za moja kwa moja kwenye mazingira lazima EIA ifanyike. Pili hao wananchi hawakupewa mrejesho wa tathmini?! Maana kama walipewa mrejesho lazima waliambiwa bwawa litafika wapi, na kwa hiyo waathirika waondeke kabla utekelezaji haujaanza.
Na kama hawakuambiwa, kwa nini?
 
Hata mimi navyojua kwamba Dams ni moja ya Flood Control sasa inakuwaje effect imekuwa kubwa baada ya kujenga JNHPP? Kuna kitu hawakuzingatia hao mainjinia ,wangetafuta kampuni iliyojenga TVA - Tennessee Valley Authority.
Mvua mwaka huu ni nyingi sana kupitanl kiasi, pita hapo ruvu darajani au wami dakawa ujionee, huko malinyi na mlimba,ifakara hakupitiki, ni mafuriko mwanzo mwisho,kwa hiyo bwawa sio sababu bali mvua ni nyingi
 
Mvua mwaka huu ni nyingi sana kupitanl kiasi, pita hapo ruvu darajani au wami dakawa ujionee, huko malinyi na mlimba,ifakara hakupitiki, ni mafuriko mwanzo mwisho,kwa hiyo bwawa sio sababu bali mvua ni nyingi
Sawa mkuu.
 
Mambo ya kulazimisha vitu kwa lengo la kutafuta sifa na 10% haya ndiyo matokeo yake.
 
Kwahiyo zile disasters zinazotokea kwenye Vinu vya nuclear Urusi na Japan na kuleta madhara Kwa raia, inamaana na wao hawakufanya tathimini.
Mwaka 2000 kemikali za viwandani zilingia kwenye vyanzo vya maji huko minnesota, USA na kuathiri raia zaidi ya 170000 na wao kumbe wajinga kama sisi hawakufanya tathimini.
 
Kwa mtazamo wangu naona hao wanavijiji walipwe fidia na kuhamishwa kutoka eneo hilo. Faida za mradi huu ni kubwa sana ukifananisha na hivyo vijiji 23. Wapewe chao wahamie sehemu nyingine mradi uendelee..

Tatizo la umeme ni kubwa na mradi huu utasaidia sekta nyingi sana za uchumi tofauti na watu tunavyosema humu kuhusu hivyo vijiji.

Hakuna maemdeleo bila side effects.
 
Hii ndio Tanzania Chiembe wa CCM analia na mafuriko ya Rufiji huku makamanda wa Chadema wakimshangilia kiumbea Zaidi

Ni Chiembe na Chadema waliolalamika Sana kwamba Rufiji itakuwa na Ukame Baada ya Magufuli kukata Miti milioni 20 na kujenga Bwawa la umeme

Makamanda ni Malalamuko FC 🐼

Mlale Unono 😄😄
 
Mvua mwaka huu ni nyingi sana kupitanl kiasi, pita hapo ruvu darajani au wami dakawa ujionee, huko malinyi na mlimba,ifakara hakupitiki, ni mafuriko mwanzo mwisho,kwa hiyo bwawa sio sababu bali mvua ni nyingi
Miaka ya nyuma mafuriko yalikuwa yanatokea huko rufiji kabla hata ya hilo bwawa kujengwa. Kwa mvua zilizoanza kunyesha novemba mwaka Jana hadi sasa ni nyingi sana (Elnino) na pengine kilichochelewesha haya mafuriko huko rufiji ni ujazaji maji kwenye bwawa hilo vinginevyo mafuriko yangetokea mapema kabisa huko rufiji.
 
Ripoti hii inaeleza kwamba hata Bwawa kubwa kama hili haiwezi kuondoa kabisa Magufuli Kwa sababu , watu wanatabia ya kuja kujenga karibu ya Bwawa mvua zinapopungua , hivyo mvua zinapo nyesha kama za Mwaka huu.


World Wildlife Fund
https://files.worldwildlife.org › ...PDF
THE FACTS AND RISKS OF BUILDING STIEGLER'S GORGE HYDROPOWER ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…