Ruge huyu hapa...

Ni Mitihani tu ya Dunia, iwe kwa ugonjwa wowote ule yote ni Mitihani tu, kikubwa ni ku ombeana tu hatujui nani atafuatia katika Mtihani kama huu. Nakuombe Luge uendelee kupata nafuu zaidi na zaidi. Na pole kwa mtihani huu.
 
Zamaradi rudi kwa mme wako ruge umemuacha na watoto umekimbia nao ona sasa baba yao anavoumwa stress zina mmaliza ruge nikikumbuka zile clip za kumbembeleza zama arudi walee watoto rugemalila alikiri kabisa kwamba utamuua hawezi kuishi peke yake we umekimbilia kuolewa na kuzaa fasta, pole ruge pona haraka.
 
Kweli kabisa
 
Wakati mwingine wake zetu tunawaonea, Ruge alikuwa mtu wa totoz sana mpaka Zamarad akashindwa uvumilivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…