Jamaa uana ubishi wa kitoto na ujuaji mwingi!Liweke hapa hilo tangazo, hakuna kitu kama hicho duniani na hata mbinguni yani mimi nianzishe kampuni na wewe tukapewe leseni na TCRA alafu wao ndio watangaze kuwa wewe unahisa 50 nami 50 mbona haiingii akilini hiyo kitu jukumu lao ni kutangaza nani anamiliki nini na nani hamiliki nini au ni kutoa leseni?
Sio ukaribu sema hawara wa marehemu sababu kama sikosei dec 2017 Nandy na jamaa walienda holiday serengeti na Ngorongoro baada ya hapo Nandy akatoka sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona povu kama kamanda wa Ufipa?!Mshenzi namba moja na mnafiki namba moja na mmwagaji damu namba moja.
Uwe unaelewa wewe..... Neno hutoka kwa Roho wa Mungu!
Hii ndio nini tena?![emoji41][emoji41]View attachment 1036062
nimekuelewa binti mrembo:Kwahiyo kumpapatikia mwanaume mwenzako wewe unaona si jambo ambalo ninastahili kuhoji? Usini-limit please.
Hewalaa...,hata mm nimefuatilia comments za huyu jamaa nimepata majibu pasipo shaka kuwa wanamtafunaMkuu mimi nafanya uchambuzi kutokana na posts zako.
Umesema mdogo wako aliombwa nyuma na timu ya Fiesta, hakuwapa. Nilivyoona hii post imekaa kishabiki nikawaza kwamba utakuwa ni wewe mwenyewe uliyeombwa.
Umeendelea kukataa, ukaja na post ya watu kuliwa jicho, nikawaza kupitia msemo wa "Kujuana kwa Vilemba", kwamba ni rahisi kumjua anayeliwa kama na wewe unaliwa.
Nani huyo kazaliwa 1983?Wee anasema kazaliwa 83 shogaa [emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nilichoka mnoo siku hyoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo mbinu za kuzikuza events zikabamba ndio mbinu na signature ya Ruge.Mbona huyu jamaa mnampa shavu sn baada ya kufa?? Mlikuwa wapi kumpa sifa hz kabla hajafa?? Na yy ni marehemu kma marehemu wengine. Kufahamiana na wanasiasa, sio sababu ya yeye kuonekana kama Nyerere.
Ukiwa makini, utaona hao inaosemekana amewanyanyua kifursa (wanamuziki) hawajasikika sana kama wanasiasa katika kumuongelea msibani. Waliosikika ni wanasiasa na wafanyakazi wenzake.
Event ikishikwa na Clouds FM, lazima itabamba tu, iwe msiba, harusi, birthday, kipaimara etc. Watairusha mpk basi...!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
lakin nasikia DAB anahisiwa kuhusika.watu wananong'ona mitaani.toka alipovamia ile studio ili sinema yake irushwe akagomewa yasemekana Dab aliingia msituni.RC Makonda amesema kwa sasa hatasema lolote juu ya rafiki yake kipenzi Ruge Mutahaba.
Makonda amesema Ruge ni mtu muadilifu, mchapakazi na jasiri hivyo anashindwa namna ya kumuelezea na anazidi kumuomba Mungu ampe kibali na kwa kuwa ataenda Bukoba kwenye mazishi basi kwa neema ya Mungu akipata kibali ataweza kumuelezea rafiki yake huyu.
Source Clouds tv!
CCTV hiyo, majangili walinasawa Clouds mwaka 2017Hii ndio nini tena?!
Clouds na Ruge ni vitu viwili tofauti usisahau hilo!Yaani mtu akifa ndio kujifanya rafiki? Mbona baada ya kuvamia Clouds alikataa kumwomba radhi kwa kitendo kile leo ananjifanya rafiki?
Hii ndio nini tena?![/QUOTE
"tape" measure!
Kashangiliwa au kazomewa !!upeo wa vijana wa Kitanzania aina hii ni wa kusikitisha sana. duh
Makonda si ndo alifamia Clouds na silaha nzito za kivita na makomando kama mashoziniga