Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
ukiskia kufa kufaana basi ndio hiiHalmashauri ya Bukoba mjini kushirikiana na Bukoba Vijijini wameungana kurekebisha sehem korofi zote ambazo hazikuwa katika hali nzuri,
Barabara ya kuanzia Magoti mpaka njia panda ya Itahwa na Karabagaine ni eneo korofi sana ambalo limesumbua sana kwa muda mrefu,
Leo asubuhi wameanza kumwaga vifusi na ma bulldozer yapo yanaendelea na kazi,
Sikuwahi kujua Ruge kama ni mtu Mkubwa kiasi hiki,
Picha na video zinawajia muda si mrefu
Yesuu ukimuuliza lazima atanigeuzia kibao
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alifamia na silaa nzito sa kifita na mashoziniga
HahahaMchawi anakuulia mwana halafu msibani analia kuliko mzazi ni principle tu ya wachawi hivyo usishangae
Sent using Jamii Forums mobile app
Bashite ana mtoto wa kichina?Bashite ni muuaji na dhambi zake zote atakaezibaba ni hicho kitoto chake cha kichina.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe nawe hivi unalipwa?? Yani kidampa kama koteee
Unaogopa kwa kuwa unajua wewe ndio umemuacha mwenzioYesuu ukimuuliza lazima atanigeuzia kibao
Bibi weee!mjini hapa pagumu mnooo!!!huoni kua Nandy kuanzia mwaka juzi promo haziiishi yaani anawika balaaa....Nandy kutembea na mtu anaemzidi hivyo kulikoni?? ndo maana amekaa kwenye safu za bebi mamaz wa ruge?
AmeenPumzika kokote ulipo Ruge, nimegundua kuwa sio lazima uwe Mbunge ndio utumikie wananchi! Waliotoka kimaisha kupitia kwake wanaelewa nlichokiandika. Nasi tujitahidi kuishi maisha yatakayoacha alama mioyoni kwa watu wengi. Mbele yetu nyuma yake....
Nafsi inamsuta kwani wewe hujui waafrica tukifa huwa tunageuka mizimu na tunaanza kulipa visasi kwa wabaya wetu
Hicho ndio siri ya kilio chake
Note
Sio kila chozi ni la uchungu
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Roho ipi Mkuu..roho ndio uhai wenyewe..ikifa nawe unakufa na hapo ndio mwisho wa hadithi..Kama roho inaona,,basi ruge anajionea mambo
Achana nae huyo anakupotezea muda tafadhaliUlivyo kiazi unadhani hio ni ya Mange Kimambi wakati ni Tangazo kutoka Gazeti la Mwananchi Wamiliki Wasafi TV waanikwa, hisa za Diamond ni asilimia 45
Unless useme Mwananchi sio chanzo Reliable pia
Unataka majibu ya kiungwana halafu waita wenzio utoko!!![emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]Ulivyo kitumbua chenye utoko unawajua hata wamiliki wa NMG wanaomiliki hilo gazeti ni watu wawapi?
.
Funguka wewe acha umama