Nimeangalia video siyo kweli,sema mama alichukua kwa baba ili aiweke kwenye pochi,pochi ikawa ndogo. Hivyo mama akabaki kaishika mkononi hadi walivyoondoka ukumbini.
Aisee, kuna mtu huku ndali aliyefungua ile bahasha au mwenye macho makali ya kuona ndani ya bahasha iliyofungwa kuna nini?
Kwakweli maana pmj na mapungufu yake Ruge, ktk kuhudumia watoto alikuwa vzr maana hakuna tuhuma zozote kwenye hiloHana jinsi kwa kweli maana wale watoto ukiwaangalia future yao ilikua kwa baba yao!Mungu amsimamie kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeangalia video siyo kweli,sema mama alichukua kwa baba ili aiweke kwenye pochi,pochi ikawa ndogo. Hivyo mama akabaki kaishika mkononi hadi walivyoondoka ukumbini.
Kwakweli maana pmj na mapungufu yake Ruge, ktk kuhudumia watoto alikuwa vzr maana hakuna tuhuma zozote kwenye hilo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu zama si ndio ilisemekana kwamba waliwahi kuishi pamoja kabla ya kushindana na kuamua kuachanaYaap Tena Zama amemfaidi sana Ruge mnoo!! Na yule Kay na Beatrice
Hata maisha ya watoto wa Zama yako vzr mnoo kulinganisha na hao wengine!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaio hio roho nayo ilipanda ndege toka S.A na itapanda ndege hadi Bukoba?Roho ya marehemu huwa inapewa nafasi mara moja kufika eneo la ibada ya mwisho/ mazishi kujionea kwa mda mfupi na kuondoka. Naamini atajionea. R I P Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu zama si ndio ilisemekana kwamba waliwahi kuishi pamoja kabla ya kushindana na kuamua kuachana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba Ruge alikuwa hajui mpaka siku ya ndoa? Na ile audio ilirekodiwa baada ya ndoa?Yaap walikua wanaishi wote kilichoshindikana kuwa pamoja ni dini mi ndo naona kubwa hilooo maana uhuni wa Ruge alikua anaujua toka zamani sana na alikua na mdada mjamzito kipindi zama ana mimba ya shubi kadada kale kanaitwa Beatrice kama sikosei kalimrusha roho Zama mpk kuvaa mashati ya Ruge anarusha Instagram yaani yule Dada hapana kwakweli...alivyojifungua akatemwa Bibie akaanza kumtukana Ruge sasa...[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]tafrani tupu mjini hapa!
Zama alivyoona Ruge si muoaji ndo akaanza kudate na shabani kisirisiri akamhama Ruge alivyojifungua shubi mpk siku anaolewa Ruge hajui chochote hakwenda fiesta ya Tabora km sikosei watu wanaona ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Anhaaa kweli nimekumbuka, hakutokea kwenye hiyo fiesta na ikasemekana sababu ni ndoa ya Zama imekuwa surprise kwake.Yaap walikua wanaishi wote kilichoshindikana kuwa pamoja ni dini mi ndo naona kubwa hilooo maana uhuni wa Ruge alikua anaujua toka zamani sana na alikua na mdada mjamzito kipindi zama ana mimba ya shubi kadada kale kanaitwa Beatrice kama sikosei kalimrusha roho Zama mpk kuvaa mashati ya Ruge anarusha Instagram yaani yule Dada hapana kwakweli...alivyojifungua akatemwa Bibie akaanza kumtukana Ruge sasa...[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3]tafrani tupu mjini hapa!
Zama alivyoona Ruge si muoaji ndo akaanza kudate na shabani kisirisiri akamhama Ruge alivyojifungua shubi mpk siku anaolewa Ruge hajui chochote hakwenda fiesta ya Tabora km sikosei watu wanaona ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Are you insane[emoji44][emoji44].Daah Diamond Platnumz kawapiga wambea chenga ya mwili. Yani kama ni betting tunasema kachana mikeka...
Ila amefanya jambo jema sana kuhudhuria, naamini hata yeye atakuwa na amani ya moyo sasa maana kelele kuhusu yeye zilikuwa nyingi.
Tupendane ndugu zangu, kukwaruzana kupo lakini kusameheana ni muhimu. Maisha yetu ni kama mshumaa uwakao ukipulizwa kidogo unazima.Tujitahidi kuishi kwa amani na watu wanaotuzukunga.
Mungu atupe mwisho mema sisi sote.
REST IN PEACE RUGEMALIRA MUTAHABA.
Audio nafikir Zama ameshaolewa na walikua wanamponda shilawadu ndo maana akairusha kusudi tu!Kwamba Ruge alikuwa hajui mpaka siku ya ndoa? Na ile audio ilirekodiwa baada ya ndoa?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji16][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hakuna baya hapa mbonaNgoja niondoke zangu hapanifai hapa, yaani najihisi kama niko kwenye kibaraza cha wanawake wasengenyaji na wambea.
Jamani marehemu hasemwi kwa mabaya yake hata kama yalikuwa mengi pomoni.