TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Mwaka Jana nilikuwa huko, sikuwa na Leseni ya Tz wananishangaza kutotambua licence ya kimataifa, wakawa wanazingua nkawa napita huko, sasa nasikia muda huu wameweka kambi hapo njia panda ya Rwamishenye na Kashura, hata kule kashura chini kasalan wapo kambi
Ndiyo unatutangazia una leseni ya kimataifa?haya tushajua!!!
We si ungewapa elimu hao policcm wenu kuwa leseni za nje zinatumika muda fulani ukatayokuwepo nchini

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena Bora tungekuwa sehemu ya Uganda Idd amini aliitamani kagera na alitaka aifanye makao makuu yake Kwa sababu Kwa kipindi kile ilikuwa imeendelea kuzidi sehemu nyingi za Uganda.hivi utatamanije sehemu mbovu.ina maana aliona kitu Fulani cha faida Kwa nchi yake ndo maana aliamua kuvamia tz sio Kenya wala sudani.



Sent using Jamii Forums mobile app
Weweeeeee! una wasimu. lazima utakuwa nshomire tu wewe. sawa bana. ila mtakufa sana usipofuta ushauri wangu
 
Hapo wanajua waliopewa,angekuwepo mjane halali angeyakamata hayo mahela

Hivi kuna aliyetoa ahadi ya kuwasomesha watoto wa Marehemu?
Kama namuona Zama jicho lilivyomtoka kwenye ile bahasha[emoji16]...

Hiyo ndo imetoka, hakuna wa kusomesha watoto pale, kila mama ajibebe na watoto wake daaah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Guilt consciousness
Atataabika sana
Young man WaTz wanajua unyama wako. Umekosa utu kabisa kwa WaTz
Time will tell
Malipo yako kwa Mungu
Unaopigana nao wanapigana vita vya kiroho sio vya damu na nyama
Roho wa Mungu ni uvuli kwao wao uliowatendea mabaya
Stop acting dude this is serious issue...

***RIP Ruge uwe na safari njema Mungu akupokee Tuonane mtoni!
Nina hasira na huyu kijana ananifanya nimkufuru mungu kuwa hatendi Hali[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe first ladio; kapukuku ni nani tajiri ni nani, hayo ni mawazo yako tu, kuona huyu tajiri huyu maskini,fikra mgawanyo hizo. Ruge bado maskini sana tu sema tu alijaliwa ngenga. hela yake hiyo ni vijicent vya mawazo vya mbogamboga tu bana au hiyo Radio?.. Kwanza hana hata kajiuwanja ka ndege tu kwao ndege ingeenda moja kwa moja. barabara safi hana.mavumbi tupu. kwao majani meengi sijui wanakula nyasi wale.badala ya kuweka Lunch af.....
 
Back
Top Bottom