TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Ina maana kipaji cha Diamond alikiweka kwake Ruge? Kwa taarifa yako Marehemu alikuwa anatazama mtu maarufu anaenda kujaribu kufanya biashara nae ili nae apate mkate kupitia huyo mtu na kwa taarifa yako mtu wa kati kwenye industry ndio anafaidika kuliko msanii mwenyewe ndio maana hakuna msaada alioutoa Zaidi ya kutaka ku-trade na watu wenye vipaji. Ukielewa industry ya muziki utajua nasema nini ila unaonekana hujui kitu

you are wrong 100%
 
lakin nasikia DAB anahisiwa kuhusika.watu wananong'ona mitaani.toka alipovamia ile studio ili sinema yake irushwe akagomewa yasemekana Dab aliingia msituni.
Aliingia msituni zaidi baada ya rafiki yake kuondolewa TISS na kwenda kuwa katibu Tawala mkoa wa Tabora kisha akaporwa walinzi akasema aliyesababisha ni Ruge pia kitendo cha vyombo vyote vya Habari kukutana clouds vikamlaani kilimkera sana makonda ndipo akaona kuwa Ruge anaelekea kutishia cheo chake cha RC akaamua kumtuma Le mutuz kwenda kuteketeza kwa virusi vya kuua figo
 
RC Makonda amesema kwa sasa hatasema lolote juu ya rafiki yake kipenzi Ruge Mutahaba.
Makonda amesema Ruge ni mtu muadilifu, mchapakazi na jasiri hivyo anashindwa namna ya kumuelezea na anazidi kumuomba Mungu ampe kibali na kwa kuwa ataenda Bukoba kwenye mazishi basi kwa neema ya Mungu akipata kibali ataweza kumuelezea rafiki yake huyu.

Source Clouds tv!
Utueleze sababu zilizokufanya ukamvamie kijeshi katika eneo lake la kazi halafu unajifanya ni rafiki yako unafiki una mwisho wake.
 
Nadhani wewe ndiye unayejiaibisha sasa nakuomba jambo moja screenshot eneo hilo linaloonyesha wamiliki wa wasafi media kutoka kwenye tovuti ya TCRA alafu iweke hapa ili unidhalilishe siihitaji document ya mange mliwa nyuma leta ambayo haina jina la mange

USHAHIDI UNAOUTAKA NI HUU HAPA. HILI NI TANGAZO LA TCRA
WASAFI TV.jpeg
 
Sasa kama talanta ipo kwanini anapagawa?afu hujanisoma vizuri nimesema hivi,kama alijiona yuko na talanta si angewaambia wazazi wake( jide) walimpilie hivyo vitu aliasinyonywe na hao!? Grow up man ukikubali kusimamiwa jua watu wameinvest pesa zao sio ujamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie huyu..ndio hao wakipata matatizo wanatafuta wa kumlaumu badala wayakabili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuache ukatili na unafiki. Tusitumie mamlaka kukomoa au kupendelea. Tutende haki. Mtu kaandaa tamasha muda mrefu, kaingia mikataba na watu kadhaa wa ndani na nje kufanikisha tamasha hilo, katumia pesa nyingi kwa mikataba, matangazo mpaka kuandaa sehemu ya kufanyia tamasha. Yooooote hayo anayafanya unamuangalia huku unajua tamasha atalifanyia wapi panapofanywa matamasha miaka yote na majirani wakiwa hao hao.

Kila kitu kikiwa tayari na pesa kubwa ikiwa imetumika tayari, kirahisi kabisa unamzuia kufanya tamasha kwa hoja ya kusumbua majirani ambayo kwa kweli si ya kweli. Hayo yakifanyika, mwandaaji yuko kitandani anaanza kuumwa. Kwa nini hali yake isibadilike kuwa mbaya zaidi kwa ukatili wa kimamlaka aliotendewa?

Leo mwenzetu anatangulia mbele ya haki, mtu aliyemfanyia ukatili wa kimamlaka, bila haya, anatoa kauli nzuri nzuri kumhusu marehemu! Unafiki huu. Tuache ukatili wa kimamlaka na unafiki ili wenye mawazo mazuri ya kujenga nchi watumie kwa uhuru mawazo yao yenye tija kwa maslahi ya nchi.
 
Nimeshaeleza toka awali hiyo document ya mangd kimambi sihiitaji na huyo juhayna mkurugenzi wa prime time promotion namfahamu vyema sana.
.
Leta document ambayo umeitoa kwenye tovuti ya TCRA hapa wewe mwenyewe naona hapo umeleta Efm na geita tv nataka za wasafi
Using'ang'anie vitu usivyovijua wenye maamlaka na wanaotunza nyaraka za kampuni ni BRELA, kila Mwaka wamiliki wa kampuni huwa wanafile BRELA document inayoitwa annual return ambayo inaonesha wamiliki wa kampuni na share wanazomiliki. Kutaka document itoke TCRA tayari inaonesha hauna ufahamu wa hayo mambo, wamiliki wa share kuwajua ni rahisi tu maana BRELA wanatoa access kwa mtu yoyote anayetaka kujua habari za kampuni husika kwa kulipa kisha utaingia ktk Company Official search kupata maelezo uliyokua unayahitaji.
 
Tusipopata katiba mpya ya kumbana Rais tutaambulia vilio ivi uyo Ruga ninani? Kwanini anaumiza pesa za walipakodi? Isijekuwa alikuwa kinara wa kusambaza madawa ya kulevya au ni Freemason yahani mpaka watu wamefungwa kisa walimkosoa? Mbona alipokuwa hai aligombana na makonda hatukuona nguvu kubwa ikitumika kumlinda?

Mbona kituo chake kilivamiwa na watu wanaojulikana lakini hawakuchukuliwa hatua mpaka leo?

Matumizi ya pesa zetu kihorela ifike maala tuseme inatosha.

Tunahitaji katiba isiyoweka kinga kwa mtawala namimi nawahakikishia Mafunguo tutamfunga kwa matumizi mabaya ya madaraka na Raslimari za nchi atakama atakuwa analingana mama yake tutamburuta tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutengeneza barabara ni matumizi mabaya ya fedha za uma?Au unataka kuiwasilisha ujumbe gani
 
Back
Top Bottom