TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Nadhani wewe ndiye unayejiaibisha sasa nakuomba jambo moja screenshot eneo hilo linaloonyesha wamiliki wa wasafi media kutoka kwenye tovuti ya TCRA alafu iweke hapa ili unidhalilishe siihitaji document ya mange mliwa nyuma leta ambayo haina jina la mange
Umeshinda mkuu.
Gazeti la mwanachi wameongopa.
Wametulisha matango pori.

Amani mkuu. Tuendelee na mengine.
 
Mbona mnashindwa kuelewa! Hapo amelia kama mkuu wa mkoa wa Dar, sio kama Bashite.
 
Niliwahi kupita hilo eneo

Nakumbuka nilimtukana traffic maeneo ya rwamishenye sasa kuwakwepa ikabidi nipitie huko ili nitokee katoma then nikazungukia kwenye vijiji humo nikatokea bugorora

Kwahiyo nimeshafahamu njia ya msibani
Kuna njia ya kwenda Rugambwa unaijua, alafu mkabala wake kuna Njia ya vumbi ya kwenda Gereza Rwamulumba, Kabale ndo huko,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kupita hilo eneo

Nakumbuka nilimtukana traffic maeneo ya rwamishenye sasa kuwakwepa ikabidi nipitie huko ili nitokee katoma then nikazungukia kwenye vijiji humo nikatokea bugorora

Kwahiyo nimeshafahamu njia ya msibani

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes ni, maeneo hayo, tunayatumiaga sana unawakwepa traffic police, maana wanabana sana rwamishenye, sasa nikiwaga bk nikajua kuna jambo haliko powa kwa gari napita ibura ,kashura, kasalan natokea kwa MKUU wa mkoa
 
Hahahaha vizuri sana ila wanatusoma hapa wasije kuziba tu chochoro

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka Jana nilikuwa huko, sikuwa na Leseni ya Tz wananishangaza kutotambua licence ya kimataifa, wakawa wanazingua nkawa napita huko, sasa nasikia muda huu wameweka kambi hapo njia panda ya Rwamishenye na Kashura, hata kule kashura chini kasalan wapo kambi
 
Ukija uje umekamilika lasivyo watakusumbua .......traffic wa bk ni wakuda sana sijui kwanini tofauti kabisa na maeneo mengineyo nchini ukiingia muleba tu unakumbana nao......bk sasa ni wanoko wajeuri....kyaka mpk mtukula nako hivyo hivyo kidooogo karagwe hawasumbui sana
Mwaka Jana nilikuwa huko, sikuwa na Leseni ya Tz wananishangaza kutotambua licence ya kimataifa, wakawa wanazingua nkawa napita huko, sasa nasikia muda huu wameweka kambi hapo njia panda ya Rwamishenye na Kashura, hata kule kashura chini kasalan wapo kambi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila kitu kinatakiwa kiwe na kiasi. Vijana tusisahau hilo. Tutachimba mashimo ambayo tutayaingia wenyewe.
RIP Ruge. Mzee wa Fursa sababu umetuonyesha njia. Ulikuwa kiongozi tena mwenye nguvu sana, ila hukulazimisha wala kupenda kukaa viti vya mbele ili upate sifa
 
Mwaka Jana nilikuwa huko, sikuwa na Leseni ya Tz wananishangaza kutotambua licence ya kimataifa, wakawa wanazingua nkawa napita huko, sasa nasikia muda huu wameweka kambi hapo njia panda ya Rwamishenye na Kashura, hata kule kashura chini kasalan wapo kambi
Hii comment hater wakiiona utayasikia madongo yao.....hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukija uje umekamilika lasivyo watakusumbua .......traffic wa bk ni wakuda sana sijui kwanini tofauti kabisa na maeneo mengineyo nchini ukiingia muleba tu unakumbana nao......bk sasa ni wanoko wajeuri....kyaka mpk mtukula nako hivyo hivyo kidooogo karagwe hawasumbui sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo hivo
 
View attachment 1035869
Ruge Mutahaba ameacha watoto 5. Mkubwa ni huyu Mwachi ambaye amesoma wasifu wa baba yake hapa.

Familia ya Ruge Mutahaba wamesema wanatambua Ruge aliwahi kuwakosea watu kwa kuwa yeye ni binadamu hajakamalika. Mtoto mkubwa wa Ruge amesema "Familia inaomba msamaha kwa niaba yake." Lakini pia wapo waliomkosea Ruge na pengine wapo wanaoendelea kumkosea. Familia imesema "TUMEWASAMEHE WOTE....TUENDELEE MBELE"
inaonekana Ruge aliwahi mapema kuwa na watoto Imagine Ruge kazaliwa 1970 huyo chalii hapo atakuwa na Age ngapi? vijana tujitahidi kuzaa Mapema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1035869
Ruge Mutahaba ameacha watoto 5. Mkubwa ni huyu Mwachi ambaye amesoma wasifu wa baba yake hapa.

Familia ya Ruge Mutahaba wamesema wanatambua Ruge aliwahi kuwakosea watu kwa kuwa yeye ni binadamu hajakamalika. Mtoto mkubwa wa Ruge amesema "Familia inaomba msamaha kwa niaba yake." Lakini pia wapo waliomkosea Ruge na pengine wapo wanaoendelea kumkosea. Familia imesema "TUMEWASAMEHE WOTE....TUENDELEE MBELE"
inaonekana Ruge aliwahi kuzaa Mapema, kijana mkubwa kabisa huyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom