Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuli wewe mgonjwaAnzisha mada inayomhusu Makonda huko ufipa kama unatäka.
49 years old, sio mbichi.Daah kijana Mbichi kabisa,inauma sana.....pumzika kwa amani
Hakika kifo ni fumbo.....Wakati mwingine huwa najiuliza Mwenyezi Mungu anatumia criteria gani kuchagua nani afe na nani abaki hai.
Inatia simanzi pale Mwenyezi Mungu anapoamua kumchukua kiumbe mwema ambaye ana mchango mkubwa na msaada kwa jamii na kuwaacha hai watu ambao hawana msaada wowote kwa binadamu wenzao zaidi ya kupanga nani atekwe, nani awekwe kwenye kiroba akatupwe baharini, nani apigwe risasi zaidi ya 30, nani abambikiwe kesi ya mauaji ya Akwilina na nani afunguliwe mashataka ya kesi ya uchochezi na anyimwe dhamana!
Mwenyezi Mungu aiweke roho ya mdogo wangu Ruge Mutahaba mahali pema peponi. Tutamkumbuka kwa mambo mengi mema na mazuri aliyoyafanya hapa dunia. Amen.
Hakuna ugonjwa mzuri.With Kidney failure, sitashtuka sana! Siombi hayo lakini ule ugonjwa si mzuri katu. All metabolic wastes have no exit outside the body!
Pole sana bila shaka ulikuwa unamfahamu kwa karibu.
Mnoo mmeshindwa kufanya kazi yoyotee!!!hapa daah!nawaza vitu vingiii
Tutaona kwa macho kitakachoendelea.