TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Inna lilah wainna ilaih rajiuun, Msiba huu ndio msiba pekee ambapo wanafik watajulikana.
 
Poleni sana wana familia, ndugu, jamaa, na marafiki kwa msiba huu. Mungu ailaze pema roho ya marehemu Ruge. Amina.
 
Wakati mwingine huwa najiuliza Mwenyezi Mungu anatumia criteria gani kuchagua nani afe na nani abaki hai.

Inatia simanzi pale Mwenyezi Mungu anapoamua kumchukua kiumbe mwema ambaye ana mchango mkubwa na msaada kwa jamii na kuwaacha hai watu ambao hawana msaada wowote kwa binadamu wenzao zaidi ya kupanga nani atekwe, nani awekwe kwenye kiroba akatupwe baharini, nani apigwe risasi zaidi ya 30, nani abambikiwe kesi ya mauaji ya Akwilina na nani afunguliwe mashataka ya kesi ya uchochezi na anyimwe dhamana!

Mwenyezi Mungu aiweke roho ya mdogo wangu Ruge Mutahaba mahali pema peponi. Tutamkumbuka kwa mambo mengi mema na mazuri aliyoyafanya hapa dunia. Amen.
Hakika kifo ni fumbo.....
Let's celebrate his life....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIP Ruge Hakuna atakayeishi milele. Mungu ni mwema awape wafiwa faraja katika hiki kipindi kigumu hasa watoto wake
 
Back
Top Bottom