Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hayo ni mawazo yako ila umri huo bado ni mtu mwenye nguvu kabisa na kijana kabisa49 years old, sio mbichi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni mawazo yako ila umri huo bado ni mtu mwenye nguvu kabisa na kijana kabisa49 years old, sio mbichi.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]huu ugonjwa mbaya jamani....I lost my sisy naona kwa macho yangu aiseee.. within 3 months kuugua na kufa...ugonjwa katili sanaFigo ni kitu kingine mkuu. Nilishaona mtu wa karib akiondoka sababu ya figo. Aliteseka sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
49 sio kijana. Wewe utakuwa mzee unajaribu kuhalalisha kuwa 49 ni kijana damu mbichi.Hayo ni mawazo yako ila umri huo bado ni mtu mwenye nguvu kabisa na kijana kabisa
Alikuwa ana miaka 49 sidhani km alikuwa kijanaDaah kijana Mbichi kabisa,inauma sana.....pumzika kwa amani
Bora asinge enda umauti usinge mkuta, ungemkuta mwingine.Katangulia mbele ya haki tayari,Rugge alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa figo.Hali iliyopelekea kupelekwa south africa kwa matibabu na umauti kumkuta huko.
Nimepoteza mama kwa sababu ya huu ugonjwa, ogopa unakaa ndani na mgonjwa mnasubiri afe.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]huu ugonjwa mbaya jamani....I lost my sisy naona kwa macho yangu aiseee.. within 3 months kuugua na kufa...ugonjwa katili sana
Apumzike kwa amani...ngumu kuamini
Kapumzike umeteseka imetosha[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo mimi nina 65 ninampango wa kuoa kama kapuya,Kama unapata vizuri all basic needs 49 Bado mbichi Ila kama njaa Kali na hupati mahitaji muhimu ni babu49 sio kijana. Wewe utakuwa mzee unajaribu kuhalalisha kuwa 49 ni kijana damu mbichi.
'Money can't buy life' - Robert Nesta Marley.Wakati mwingine pesa huwa haitatui tatizo.
Akawasalimie wapendwa wetu wote waliotutoka.
Mwenyezi Mungu awape pumziko la milele.
Kijana kabisaAlikuwa ana miaka 49 sidhani km alikuwa kijana
Nimepoteza mama kwa sababu ya huu ugonjwa, ogopa unakaa ndani na mgonjwa mnasubiri afe.
[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]