Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana..
Muacheni mtu na maamuzi yake,hatujui walikuaje!
Wakipenda A na yeye aachwe apende B,huo ndio ustaarabu!
Hivi hiii c2c inaonyeshwaga kingamuzi gani?????Halipo wewe mento, lipo kwenye web gani?
Na abdu bonge utamuacha wapi?????Boss unamfahamu vyema? Huyo ndiye meneja wa kwanza nchini tanzania kusimamia wanamuziki.
Tatizo huu msiba umekuta kuna jobless wengi,namba zinasomeka balaa,mivutano ya kisiasa. Hivyo kila upande unavutia kwake
RUGE KIFO CHAKE KIMEKUWA FURSA
Hebu leta na picha ya zama maana nakodoa macho kwenye tv ila bado sijamuonaView attachment 1037522 jaydee msiban kwa Ruge PICHANI Akiwa Na Mwanafa Baada Ya Kuwasili Uwanja Wa Ndege Wa Bukoba Mapema Leo Asubuhi .
Hebu leta na picha ya zama maana nakodoa macho kwenye tv ila bado sijamuona
Sent using Jamii Forums mobile app
nitumie hiyo link best mm sijaona kabisaHuyo mwanamke wa Ruge hapo anadanse kavaa mashati ya Ruge,anamlingishia Zama.
Eeh wako liveSijaziona halafu nipo mbali ya Tv kumbe wanaonyesha laivu
Boss kiboko mpaka mateja anatafuna tuu[emoji134][emoji134][emoji134]Acha kabisaa Zamaradi na Ray C washawahi gombana mnoooo!!kisa boss Ruge!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Heeee[emoji134][emoji134]View attachment 1037522 jaydee msiban kwa Ruge PICHANI Akiwa Na Mwanafa Baada Ya Kuwasili Uwanja Wa Ndege Wa Bukoba Mapema Leo Asubuhi .