blogspot
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,268
- 1,143
Mimi kama mkristo mwenzako mbona sijaona ambapo amehusisha dini? Usiwe na mhemko wa namna hiyo mtumishi
Akili yako haina akili wewe imani yako ni Uislam inabidi tui heshimu na wengine ni Wakristo inabidi pia tui heshimu wengine kama sisi imani yetu ni ya ki Afrika inabidi tu heshimiwe na wengine hawana dini.. kwa kutojitambua unataka watu wote wafanane wawe waislamu..