TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Yani bora umeamua kuweka hyo roho yako ya paka nyuma , maana kitu ambacho kingekutokea usingeamini macho yako, hizo show zake za Mia mbili ungepiga na kujisikiliza mwenyewe. Naona michambo ya juzi umeipata na imekuingia haswa, maana hii Tanzania ungeiona chungu, yani Leo nimekupenda upya huyu Ndo lady jaydee tunayemtaka, utawekaje bifu na marehemu? Tena ambaye alikusaidia mpaka ukawa lady jaydee, yani bora umejisalimisha, maana watu wangekuogopa kabisa , maana hata wachawi wakiua wanaenda kujinafikisha msibani Sasa wewe sijui tungeikuita nani .

Safi sana kusikia umeenda kumzika boss wako, yani hapa roho kwatu, na nyie mbwa mliokua mnapiga kelele kushadadia naona yamewashuka leo mxiew mbwa zenu nyie kazi ku support ujinga tu , hata mwenzenu kaenda semeni Tena mxieew . Ila juzi nilikuchamba shost . Sikukubakisha hata mxiew mie Ndo warumi [emoji16], haya nisamehe bure nimerudi kuwa Shabiki yako kama zamani

Mimi sio team mavi mavi, boss akikosea unasifia kila kitu , hapa unapata michambo vizuri yani tena kama sijawahi kukujua. Sitakagi ushabiki wa kishamba Mimi .

Haya useme tena you don't care mxieww , Leo commando kawa kama piliton[emoji1787]


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ovyooo warumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani bora umeamua kuweka hyo roho yako ya paka nyuma , maana kitu ambacho kingekutokea usingeamini macho yako, hizo show zake za Mia mbili ungepiga na kujisikiliza mwenyewe. Naona michambo ya juzi umeipata na imekuingia haswa, maana hii Tanzania ungeiona chungu, yani Leo nimekupenda upya huyu Ndo lady jaydee tunayemtaka, utawekaje bifu na marehemu? Tena ambaye alikusaidia mpaka ukawa lady jaydee, yani bora umejisalimisha, maana watu wangekuogopa kabisa , maana hata wachawi wakiua wanaenda kujinafikisha msibani Sasa wewe sijui tungeikuita nani .

Safi sana kusikia umeenda kumzika boss wako, yani hapa roho kwatu, na nyie mbwa mliokua mnapiga kelele kushadadia naona yamewashuka leo mxiew mbwa zenu nyie kazi ku support ujinga tu , hata mwenzenu kaenda semeni Tena mxieew . Ila juzi nilikuchamba shost . Sikukubakisha hata mxiew mie Ndo warumi [emoji16], haya nisamehe bure nimerudi kuwa Shabiki yako kama zamani

Mimi sio team mavi mavi, boss akikosea unasifia kila kitu , hapa unapata michambo vizuri yani tena kama sijawahi kukujua. Sitakagi ushabiki wa kishamba Mimi .

Haya useme tena you don't care mxieww , Leo commando kawa kama piliton[emoji1787]


Sent from my iPhone using JamiiForums
ww ni shushushu la CMG, si bure[emoji41][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku lowassa akifa nitawekwa ndani kama dudubaya maana yule ni malaya wa siasa na nitalisema siku akifa
 
Hamjaelewa sababu za CCM kuufanya msiba huu kuwa wa kitaifa? Kulikuwa na mjadara mkali unaendelea has a juu ya kuporomoka kwa shilingi ya Tz na uvamizi wa maduka na uporaji wa Mali za wenye maduka ya kubadilisha fedha za kigeni. Wamefanikiwa kufifisha mjadara huo na Sasa ni kama umekufa kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi vijana wa Zamani tunajua Saida alitolewa na Mmiliki wa zamani wa Ukumbi wa FM zamani ukiitwa Lang'ata Social Hall, Mzee Felician Muta. Saida akazidiwa Ujanja na baadae akapotea, akarudi tena juzi juzi hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini wamekataza wanahabari kuchukua picha anagalau ya mnato ndani ya jeneza najua si vyema lakini nadhani kuna tatizo kwenye ule mwili wadaku mtujuze
 
51945346_421443488602322_3320156033576880012_n.jpg
Hakuna aliyetengwa. Ukiangalia vizuri huyu mkubwa anajitegemea na ana maamuzi fulani kuhusu msiba wa baba yake . Ila hao wadogo mpaka usimamizi wa hali ya juu toka kwa mama zao. Maana mashangazi na baba wadogo/wakubwa pia wanafamilia zao ila hapo akili zipo kwa ndugu yao aliyewaacha hivyo hawataweza kuangalia hao watoto wadogo huku wakifatilia shughuli za msiba.
Ila jmn mbona wale watoto wadogo ni km familia imewatenga, naona mtoto mkubwa ndio yuko nao karibu.
Wale wengine mpk muda huu bado sijawaona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu wa ajabu sana.... Barnaba kile kilio ni zaidi ya kufiwa na Mzazi
Unafiki tu hakuna lolote. Siku zote mtu akifa huwa anakua mzuri.
Kuna watu walifiwa na wazazi wao, ndugu, jamaa na wapenzi wao hata hawakulia lkn huyu nao wanajifanya wanauchungu sana.
 
Back
Top Bottom