Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 5,987
- 6,682
Huyu jaydee wawe nae makin maana anaweza hata kumbamiza Kofi marehem, maana si kwa jazba zile aseee..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ovyooo warumiYani bora umeamua kuweka hyo roho yako ya paka nyuma , maana kitu ambacho kingekutokea usingeamini macho yako, hizo show zake za Mia mbili ungepiga na kujisikiliza mwenyewe. Naona michambo ya juzi umeipata na imekuingia haswa, maana hii Tanzania ungeiona chungu, yani Leo nimekupenda upya huyu Ndo lady jaydee tunayemtaka, utawekaje bifu na marehemu? Tena ambaye alikusaidia mpaka ukawa lady jaydee, yani bora umejisalimisha, maana watu wangekuogopa kabisa , maana hata wachawi wakiua wanaenda kujinafikisha msibani Sasa wewe sijui tungeikuita nani .
Safi sana kusikia umeenda kumzika boss wako, yani hapa roho kwatu, na nyie mbwa mliokua mnapiga kelele kushadadia naona yamewashuka leo mxiew mbwa zenu nyie kazi ku support ujinga tu , hata mwenzenu kaenda semeni Tena mxieew . Ila juzi nilikuchamba shost . Sikukubakisha hata mxiew mie Ndo warumi [emoji16], haya nisamehe bure nimerudi kuwa Shabiki yako kama zamani
Mimi sio team mavi mavi, boss akikosea unasifia kila kitu , hapa unapata michambo vizuri yani tena kama sijawahi kukujua. Sitakagi ushabiki wa kishamba Mimi .
Haya useme tena you don't care mxieww , Leo commando kawa kama piliton[emoji1787]
Sent from my iPhone using JamiiForums
ww ni shushushu la CMG, si bure[emoji41][emoji41]Yani bora umeamua kuweka hyo roho yako ya paka nyuma , maana kitu ambacho kingekutokea usingeamini macho yako, hizo show zake za Mia mbili ungepiga na kujisikiliza mwenyewe. Naona michambo ya juzi umeipata na imekuingia haswa, maana hii Tanzania ungeiona chungu, yani Leo nimekupenda upya huyu Ndo lady jaydee tunayemtaka, utawekaje bifu na marehemu? Tena ambaye alikusaidia mpaka ukawa lady jaydee, yani bora umejisalimisha, maana watu wangekuogopa kabisa , maana hata wachawi wakiua wanaenda kujinafikisha msibani Sasa wewe sijui tungeikuita nani .
Safi sana kusikia umeenda kumzika boss wako, yani hapa roho kwatu, na nyie mbwa mliokua mnapiga kelele kushadadia naona yamewashuka leo mxiew mbwa zenu nyie kazi ku support ujinga tu , hata mwenzenu kaenda semeni Tena mxieew . Ila juzi nilikuchamba shost . Sikukubakisha hata mxiew mie Ndo warumi [emoji16], haya nisamehe bure nimerudi kuwa Shabiki yako kama zamani
Mimi sio team mavi mavi, boss akikosea unasifia kila kitu , hapa unapata michambo vizuri yani tena kama sijawahi kukujua. Sitakagi ushabiki wa kishamba Mimi .
Haya useme tena you don't care mxieww , Leo commando kawa kama piliton[emoji1787]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakuwa wa kwanza alikuja baada ya Mkubwa fella ni wa kwanza na mpaka sasa yupo.
Naomba ufafanuzi mkuu hassan ngoma alitukanwa na nani?????Kumalizia bifu ndio akamtuma Hassan Ngoma ,kwa akili yenu nyie mataga mnafiri mambo yenu hayajulikani duniani Hanna siri kwa hiyo na Hassan Ngoma nae Amelia sana nyie mataga?
Kwahiyo ulitaka walie na kuzimia kama barinabasi ndio ungejua kwamba wanahuzuni??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahahahahah!Mungu wa ajabu sana.... Barnaba kile kilio ni zaidi ya kufiwa na Mzazi
Taarifa za wadau zinasema hajaenda walikutana airport dar kisha yeye kashukia Kilimanjaro
Heee hata mm nishaskiaga kwamba ndo.alimtuma kum...ruge wa watu jamani!!!!!hassan ni mnafiki yuleKumalizia bifu ndio akamtuma Hassan Ngoma ,kwa akili yenu nyie mataga mnafiri mambo yenu hayajulikani duniani Hanna siri kwa hiyo na Hassan Ngoma nae Amelia sana nyie mataga?
Ila jmn mbona wale watoto wadogo ni km familia imewatenga, naona mtoto mkubwa ndio yuko nao karibu.
Wale wengine mpk muda huu bado sijawaona
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini wamekataza wanahabari kuchukua picha anagalau ya mnato ndani ya jeneza najua si vyema lakini nadhani kuna tatizo kwenye ule mwili wadaku mtujuze
Unafiki tu hakuna lolote. Siku zote mtu akifa huwa anakua mzuri.Mungu wa ajabu sana.... Barnaba kile kilio ni zaidi ya kufiwa na Mzazi