Hao wadogo mbona mm sijawaona jamaniView attachment 1037665Hakuna aliyetengwa. Ukiangalia vizuri huyu mkubwa anajitegemea na ana maamuzi fulani kuhusu msiba wa baba yake . Ila hao wadogo mpaka usimamizi wa hali ya juu toka kwa mama zao. Maana mashangazi na baba wadogo/wakubwa pia wanafamilia zao ila hapo akili zipo kwa ndugu yao aliyewaacha hivyo hawataweza kuangalia hao watoto wadogo huku wakifatilia shughuli za msiba.
Ingekuwa kuna shida wasingeruhusu watu kuaga wangeaga wale wa muhimu tuKwanini wamekataza wanahabari kuchukua picha anagalau ya mnato ndani ya jeneza najua si vyema lakini nadhani kuna tatizo kwenye ule mwili wadaku mtujuze
Kweli kbs, ht km kuna tatizo kwenye mwili hiyo ni juu ya marehem mwenyewe na ndg zake.
Kwanini wamekataza wanahabari kuchukua picha anagalau ya mnato ndani ya jeneza najua si vyema lakini nadhani kuna tatizo kwenye ule mwili wadaku mtujuze
Ingekuwa kuna shida wasingeruhusu watu kuaga wangeaga wale wa muhimu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wanapomzikia ni kijijini sio kinondoni ambapo ni mjini..sidhani kama watamalizia kwa kuweka marble maana ukilijengea kaburi mapema linaanza kutoa nyufaNgojea tuone finishing ya kaburi ndio bei juu kama watakuwa wametengeneza Mable yenye picha yake. Ile Mable ikiwekwa picha na maandishi Yale ya kwenye msalaba dob na dod na mistari ya Bible si chini ya million 1.show ya juu ya kaburi wakisema wajenge kwa Mable badala ya tiles Ina weza kuisha million 3.na million moja unaweka kuchimba na kujengea kaburi kuanzia chini hadi zege la juu..... Kinondoni sasa hiv kuzika pale si chini ya 2.5m kaburi standard hapo bado amjafinishi kwa juuu hiyo ni mmejenga kama baraza tu. Ujenz wa makaburi ukitaka liwe zuri ni gharama ila ukitaka la kawaida aizidi laki 4
Sent using Jamii Forums mobile app
nitumie hiyo link best mm sijaona kabisa
Bageshi umeona nini kilichoandikwa kwenye hiyo post ya nyeto?
Ni kweli kabisa, lakini mimi nadhani pengine mwili ulidhoofika sana ndio maana wamekataza (nadhani)Ingekuwa kuna shida wasingeruhusu watu kuaga wangeaga wale wa muhimu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujasoma vizuri oni langu we mwanamke.
Tofali 2000 how ???Sasa mkuu tufanye hesabu za haraka haraka mfano tofali 2000 Tshs x 150 = 300,000, Cement 22,000 Tshs x 10 = 220,000, Tiles box 25,000 x 20 = 500,000, Maji 100,000Tshs, Fundi 250,000 vibarua 30,000 × 4 = 120,000 kutengeneza zege la kusakafia juu i.e 250,000 yani hapo jumla ni 1,390,000 Tshs pia unatakiwa ujue huko ni kijijini vitu sio gharama kubwa hata useme uzizidishe gharama hizi mara mbili milioni 3 haifiki hio milioni nne inakuja vipi?
Bageshi umeona nini kilichoandikwa kwenye hiyo post ya nyeto?
Sasa nikusaidie nini kiamba mkumba?Uliandika hichi
Extrovert Jordan said:
Mimi ni muhanga wa nyeto toka mwaka 2011 non stop sasa imeanza kuniumiza na nashindwa kuiacha mwanamke namridhisha vilivyo ila napomaliza maumivu yamgongo, shingo na kichwa hunianza
NIKIAMKA VIZURI NAPIGA KWA SIKU HATA MARA 6 AU 7 NAJIZUIA KUSHIKA SIM AU KUTAZAMA VIPINDI VISIVYOFAA NIMESHINDWA
Kwa wiki naweza kuacha kupiga siku moja pekee au nikapiga wiki zote ndani yamwezi ninaumiasana.
Muda mwingine hata nikiwa na mwanamke tukimaliza mchezo akisinzia tu nashika sim napiga nyeto
MSAADA WAKUU
Mama travis,hapo kavaa mashati ya Ruge,kumrusha roho zama.ndo nani huyo anaemwaga miuno feni kwenye uzi wa msiba
Soma uelewe sentensi..nimemaanisha tofali 1 sawa na 2000Tshs
Unafiki tu hakuna lolote. Siku zote mtu akifa huwa anakua mzuri.
Kuna watu walifiwa na wazazi wao, ndugu, jamaa na wapenzi wao hata hawakulia lkn huyu nao wanajifanya wanauchungu sana.
[emoji16]Huyu jaydee wawe nae makin maana anaweza hata kumbamiza Kofi marehem, maana si kwa jazba zile aseee..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nikusaidie nini kiamba mkumba?