Yesu hakuanzishs kanisa Roman Catholic limetoks Urumi huko na taratibu zake...Hilo ndio Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume ...Kanisa alilolianzisha Yesu peke yake...
Halidanganyi wala Halidanganyiki
hesabu zake alishaziwakilisha siku nyingi mbele ya,,mzee wa siku,,kuzikwa na kadinali au papa haisaidii kitu..Kwa heshima zote za kiserikali na kibinadamu na mapokezi aliyopata Marehemu Ruge, Je, alisitahili kuzikwa kwa ibada kuendeshwa na KATEKISTA?
Ukitilia maanani ukaribu wa familia ya marehemu na Askofu M. Kilaini
Ujirani uliopo kijijini kati ya Askofu na Prof. Mutahaba
Mazingira ya mwamko wa kidini ya RC uliopo hapo kijijini
Ujirani na Parokia yake ya Itahwa
Ushiriki wa viongozi hao wa dini katika kuaga mwili wa Marehemu hapo Bukoba Club/Gymkhana
Mwisho wa Mwisho ibada ya mazishi ikaishia kuendeshwa na KATEKISTA ikishuhudiwa viongozi hao wa kanisa kushindwa kushiriki ibada hiyo.
Kwanza Sio utamaduni wa eneo hilo kwa mtu kama wa aina ya Mutahaba.
Mwisho wa RUGE imekuwa simanzi kubwa kwani mbwembwe za mitaani zimezimwa na KANISA lake.
The very last RESPECT imeua yote.
Wabongo mna maneno sasa makomboo kaingiaje hapaJitu linalia mpaka domo linalegea utadhani makambo kafunga goli la kichwa???
Sent using Jamii Forums mobile app
kama peponi tunaingia,,kwa mujibu wa law of karma,,basi sawa,,tutajua siku tukikutana huko..Msianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.
Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.
Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.
Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
Unaweza kuunganisha kwa evidence hata maneno mawili ROMAN +CATHOLIC?Mimi ni mkatoliki kuliko papa nitajibu maswali yenu yote
tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo
Pitia Post zangu za juu kidogo..Huwa Sirudii Majibu niliyoyatoa......Yesu hakuanzishs kanisa Roman Catholic limetoks Urumi huko na taratibu zake...
Mmmmhhh sio kwa wabongo bhanaHakuwepo
Japo sikwenda ajili ya kutizama wasanii mimi nilienda kumsindikiza mpendwa wangu Ruge katika safari yake ya mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mmaandiko uliyoyaweka hayakumaanisha kanisa physically, ni tafsiri ya kujenga imani, kanisa la roman catholic lilitoka huko urumi halikuanzishwa Israel alipokuwepo Yesu...Pitia Post zangu za juu kidogo..Huwa Sirudii Majibu niliyoyatoa......
anafikiri mbinguni anaenda kwa kubetiBrother mayalla endelea na law zako hizo...lkn kumbuka kwenda mbingun sio k2 rahs ivo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kuwekeza bukoba na sheria za rc wapu na wapi,unamix mambo mengi mkuu ,shortly ni kua Rc kuna utaratibu wake.Mwili wa Ruge umehagwa na kuzikwa kisanii.
Ukweli ni kwamba Wahaya hatujamkataa Ruge ila yeye alitukataa sisi niambie kwa sifa zote anazotajwa kuwa nazo aliwekeza nini BUKOBA
Jambo la pili alijiandaaje na habari za Mungu?
Lakini pia aliwasaidiaje wasanii wa Bukoba?
Acheni unafiki uyu akichopanda ndichokavuna sikushangaa kuona anazikwa na katekista sikushangaa kukosa mahubiri na sadaka, sukushangaa kukosa wanakwaya japo uwanjani walikuwepo wachungaji Mapadri mpaka maaskofu walikuwepo lakini wote hao waling'amua kuwa hakuwa na sifa ya kuzikwa Kikiristo.
Apandacho mtu ndicho atavuna alipanda kwa wasanii akamuacha Mungu na kweli kazikwa na wasanii.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]dome things are beyond your imaginationKAMA JIRANI YAKO UWA HAMSHIRIKIANI,WEWE BABA UKAAMUA KUTOKWENDA KWENYE MSIBA WAKE,VIPI SASA UTUME MTOTO( KATEKISTA)? SI MGESUSA WOTE?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha uongo Yesu Kafa akiwa Dhehebu la Kiyahudi kama Desturi ya Waisrael... Lete Ushahidi Kanisa lilianzishwa na Yesu.....Hilo ndio Kanisa Moja Takatifu Katoliki la Mitume ...Kanisa alilolianzisha Yesu peke yake...
Halidanganyi wala Halidanganyiki
Sio jumuiya ndogo ndogo tu za kikanisa bali na amri zingine za kanisa na za Mungu.Huko ni kujipa sympathy tuu...
Ni heshima kwa familia aliyoicha na kama kusema ni heshima kwake kwa aliyoyaacha hapa duniani kama angezikwa na Kanisa....
Wakristo Wakatoliki Jumuiya ndogo ndogo ni muhimu sana
Hujaona wengine wameona, kumbuka Nina uchungu hata mm ruge kanisaidia tena Nina siri kubwaJifunze kuandika kwanza ndugu, sijui ulikuwa unawahi wapi....By the way sijaona sababu ya msingi hapo kwenye maelezo yako
Umetoa nadharia ambayo sio ya Kisomi kabisa.. Imejaa Mihemko, taratibu na sheria za kanisa zipo wazi.. Na kanisa hlisemi likikuzika Ndio Utaenda peponi au la.. Hatujui nani mbinguni anaenda au la..Msianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.
Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.
Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.
Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P