JAPHA ED
JF-Expert Member
- Aug 17, 2016
- 793
- 1,223
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAOMBA NIANDIKE KWA HERUFI KUBWA.Mungu ampumzishe mahali pema peponi.
Kama ni mkono wa mtu hakika alaaniwe na apate mabaya hapa hapa duniani na kuzimu pia.
Kuna watu wabaya sana hapa Tanzania.
Nyuma yake mbele yetu, umegeuzaR.I.P Ruge Mutahaba. Mbele yake, nyuma yetu.
zilifanyaje figo zake[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]huu ugonjwa mbaya jamani....I lost my sisy naona kwa macho yangu aiseee.. within 3 months kuugua na kufa...ugonjwa katili sana
Apumzike kwa amani...ngumu kuamini
Kapumzike umeteseka imetosha[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
duh pole sana best yaan mie ngv za kushika simu ndo napata sasa...nimeumia jamanNimepoteza mama kwa sababu ya huu ugonjwa, ogopa unakaa ndani na mgonjwa mnasubiri afe.
[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]
Pole sana, Ruge alikuwa sauti ya wengi japo naye ni mwanadamu ana mapungufu ila kiasi kikubwa alionesha mazuri licha ya kuwa na baadhi ya mapungufu.duh pole sana best yaan mie ngv za kushika simu ndo napata sasa...nimeumia jaman
pPole sana, Ruge alikuwa sauti ya wengi japo naye ni mwanadamu ana mapungufu ila kiasi kikubwa alionesha mazuri licha ya kuwa na baadhi ya mapungufu.
Kwa kweli sijui, huwenda tupate majibu ya kitaalamu kwa Sky Eclat atusaidie.Unasababishwa na nini tuanze kuuepuka mapema kama yawezekana?
Kizungu unaitwaje niugoogle.
Duh, nimecheki. Ni hepatitis B, unaenezwa kwa njia ile ile kujamiiana. Aisee, itabidi matobo yazibwe tu hamna namna.Unasababishwa na nini tuanze kuuepuka mapema kama yawezekana?
Kizungu unaitwaje niugoogle.
Yah, alikuwa mtu wa kuja na kampeni kadhaa za kuinua watu wa hali ya chini.Mie.mapungufu hata sikua nayajua maskinj...alisaidia watu wengi mno..ishu ya kipepeo..dah
p