TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

With Kidney failure, sitashtuka sana! Siombi hayo lakini ule ugonjwa si mzuri katu. All metabolic wastes have no exit outside the body!

Hivi ilishndikana kubadilisha..?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Baba ametoa na baba amechukua. My condolences to all walioguswa
 
Too sad. R.I.P Ruge na pole nyingi kwa familia na Clouds Media Group. Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe.
 
Figo mkuu.
Kuna mambo mengi yanayosababisha figo kutokufanya kazi. Maradhi, dawa, nk.

Figo huchuja uchafu wa damu na uchafu huu hutolewa kwa njia ya mkojo na damu safi hurudi mzungukoni.

Figo zisipofanya kazi vizuri inamaana uchafu huendelea kuzunguka mwilini na huwa sumu. Ndiyo maana mgonjwa hufanyiwa dialysis ambayo hufanya kazi ya figo.
 
Ndiyo maana mimi naomba Mungu nije kufa kwa mlipuko wa ajabu hata nilipukiwe na kombora nisambaratike kama udongo.

Aliteseka sana yule mama, siku ya mwisho natoka kumuona nilirudi kwenye makazi yangu na kuomba Mungu naomba mpumzishe yule mama anateseka sana.
Pole dear[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24],,dah,,najua jinsi Hali inavyokuwa yaani

Nikiona huu ugonjwa unaendelea kuuwa watu huwa naugua Sana moyoni mwangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ruge Mutahaba ametutoka....This is beyond sad. Dah roho inaniuma sana

Mungu awatie nguvu ndugu zake, watoto wake na wafanyakazi wa clouds....

Tanzania has lost its biggest entertainment genius. R.I.P legend. R.I.P Creator and founder of Tanzania’s entertainment industry. Tanzania and its people will miss you Ruge..
 
Navyozidi kusoma na kupata maarifa kuhusu HEPATITIS B (liver infections), nazidi jiuliza WHY GOD SLAPS IT ON SEX? Why these deadly disease are manly caused by sex? What was the purpose of sex!
Wakuu, huu ugonjwa inaonekana ni more deadly than h.i.v na huu haukupi muda wa kutosha wa kuaga na unaambukizwa kwa njia zile zile kama za h.i.v.
Dah!
Binadamu wanajisahau serikali imepiga kampeni ya chanjo ya hepatitis b na watu hawakuonekana kwa wingi
 
Kuna mambo mengi yanayosababisha figo kutokufanya kazi. Maradhi, dawa, nk.

Figo huchuka uchafu wa damu na uchafu huu hutolewa kwa njia ya mkojowna damu safi hurudi mzungukoni.

Figo zisipofanya kazi vizuri inamaana uchafu huendelea kuzinguka mwilini na huwa sumu. Ndiyo maana mgonjwa hufanyiwa dialysis ambayo hufanya kazi ya figo.
Asante mkuu.
 
Back
Top Bottom