The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,221
- 4,564
Tayari tulishajadili humu kwani akizikwa dar kuna nini ardhi ni ardhiKumekuwa na kasumba yakuzika watu maalufu dar es salaam pindi wanapo kufa tafadhalini sana rugemarila mtahaba ni muhaya wa kabale bukoba mleteni azikwe kwao.
Wengine clouds tumeanza kuisikia tulipo enda vyuoni bila yeye mawingu ya clouds fm sijui kama tungeyasikia wakazi wa mkoa kagera. Tunaitaji kumuaga mpenzi wetu, tafadhalini msije kututhulumu hii fursa. He was an ikon of kagera and w'll still be.
RUGE AJAFARIKI KAPUMZIKA KWA AMANI TU.USISIKITIKE SANA.Inauma sana..unawaza kama mm..juzi huyu naye kapata ajali..bas nikajua atakaa bas hosptal walaua 4mths aone utamu wa ajali ya kugonga punda..ghafla naliona limeshika mic kwenye ziara ya Samia..unabaki unasema kwani Mungu wanaemwabudu wakenya ni sawa n wa Tz?haya majitu yangeoata ajali alafu migongo yao ingepalalaizi mazima yakawa majitu ya kitandan tu yatoke bed sores..alafu anatokea kidume anaenda kuoa wake zao!pumbafu kbs yn
amenRUGE AJAFARIKI KAPUMZIKA KWA AMANI TU.USISIKITIKE SANA.
Inauma sana..unawaza kama mm..juzi huyu naye kapata ajali..bas nikajua atakaa bas hosptal walaua 4mths aone utamu wa ajali ya kugonga punda..ghafla naliona limeshika mic kwenye ziara ya Samia..unabaki unasema kwani Mungu wanaemwabudu wakenya ni sawa n wa Tz?haya majitu yangeoata ajali alafu migongo yao ingepalalaizi mazima yakawa majitu ya kitandan tu yatoke bed sores..alafu anatokea kidume anaenda kuoa wake zao!pumbafu kbs yn
Kwahyo kila aliyejiunga umu ni muitimu wa chuo?Aisee chuo gani hicho umehitimu hujui kuandika?
Hii elimu yetu kuna tatizo mahali sio bure
"Kuthulumu"
Hata mm aisee hv Mungu r
tumemkosea nn jaman anachukua mtu muhimj namna hii jaman anawaacha mamende kabatini yananenepa matako tu?
Serious?! Hata kama Marehemu haswemwi mabaya; wewe ulitaka aendelee kuzalishwa bila ndoa hadi lini? Au kwavile Ruge alikuwa na pesa? Hivi alikuwa na sababu gani za msingi za kuendelea kumzalisha bila ndoa miaka yote hiyo? Acha kutetea ujinga wewe!!!najua magumu ya ndoa...lakini mwanamke unayeshabikiwa mitandaoni wanakusifu una hekima na blah blah kibao..unamuacha mzaz mwenzako unaenda kufunga ndoa na street guy hiv zama alipungukiwa nn!
Eti mie niachane na hubby alafu at same moment naolewa na kiduku boy..huyo zama wenu mnaomuimbiaga nyimbo za kumsifu insta eti anabusara nakuambia ataumia had anaingia kaburini..mwanamke timilifu ukiachana na mumeo kaa kando na masuala ya kuolewa kbs!najua huwez nielewa!
Na usiombe kidney failure ikaambatana na presha.....ni hatari sana😳😵With Kidney failure, sitashtuka sana! Siombi hayo lakini ule ugonjwa si mzuri katu. All metabolic wastes have no exit outside the body!
Nilishawahi kukutana nae sehemu zamani kidogo imepita six years!aseeh!huyu kaka akiongea utatamani asiache nilimuambia niliye kua nae yule mshikaji ni kichwa sijaona bongo hii kwa hawa watoto wa mjiniNimeumia utadhani niliwahi kumuona live