Nahifadhi kumbukumbuBado kuna kitu najaribu kutafakari sana, kuna maono nimeyaona huwenda yakaja kushangaza watu pia ndani ya huu mwaka.
Unaweza kuwa mwaka mbaya kwa watanzania...
R. I. P Rugemalila.
Mbona simsikii siku hizi,anapatikana wapi huyu jamaa?Ofisi ya Mbunge wa jimbo la Hai Mkoani Kilimanjaro, imesikitishwa na kifo cha Ruge Mutahaba aliyekuwa Mkurugenzi wa uzalishaji Clouds Media na kutoa pole kwa viongozi wa chombo hicho cha utangazaji pamoja na familia ya marehemu.
View attachment 1033491
Sent using Jamii Forums mobile app
Zama hawezi kuwa na furaha, huwa inaumiza mno adui yako akiondokaFuraha kwa zama
Wameshindwa kazi kila habari ya Ruge wanafuta au kuunganisha.Tatizo mods wanaunganisha nyuzi balaa
Hahaaa dahWameshindwa kazi kila habari ya Ruge wanafuta au kuunganisha.
Hatujui nini kinaendelea wao ni kuunganisha tu.
Kwa kweli mtanzania usimpe kazi ataifanya kwa nyodo.
Yaani Majizo kufika msimani imeibuka taharuki? Mtoa mada unaijua taharuki lakini?
Sent using Jamii Forums mobile app
True kabisa mzee umenenaBiashara si uadui na uingozi ni kuonyesha mfano
Inauma sana sana unapokuwa ulimfahamu mtu na wanafamilia wote.
Nina ganzi
Ninaweza nikasema sielewi ila ni kwa uelewa wangu mdogo kwa maana nilikuwa eneo la tukio na nikaona ni jinsi gani watu wanavyonong'ona chini kwa chini na hicho ndicho kilicho fanya waandishi wamfuate na kufanya naye mahojiano ili aeleze mwenyeweYaani Majizo kufika msibani imeibuka taharuki? Mtoa mada unaijua taharuki lakini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hofu Sana na jinsi Ruge alivyoondoka bado naiwazia tasnia ya burudan hasa wasanii, clouds yenyewe sjui ngoja tuone Mungu atamuinua nan mwingine mwenye nguvu ya maono km Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
"Sasa ni wakati wa wanafiki kujitokeza hadharani, na wachawi kulia kwa uchungu kuliko waliofiwa" - Tundu Lissu.Leo katika msiba wa Ruge Mutahaba nyumbani kwa mama yake Mikocheni jijini Dar es salaam, kumeibuka taaruki baada ya kuonekana mkurugenzi wa Efm na Etv Francis Antony Ciza Majey (Majizo) akiwa katika msiba huo na kuonesha ushilikiano mkubwa sana katika siku hii ya msiba wa ndugu yetu Ruge Mutahaba.
[https://2]
Alipo ulizwa ni kwanini anashiriki kwa moyo mmoja katika msiba wa mtu aliyekuwa katika media nyingine alijibu ya kwamba
"Mimi ninafanya media kama hobby na sijali kama nitaweza kushuka kibiashara ama sitoshuka kibiashara kwasababu hata nikishuka itakua ni basi kwasababu sina bifu na mtu yoyote wala media yoyote na sifanyi kushindana ninafanya media kama kitu ambacho ninakipenda, na kuhusiana ma Ruge yeyepia alikuwa anamchango wake mpaka mimi kufikia hapa nilipo na ndio maana unaona ninakuwa na mchango mkubwa hapa katika msiba wake kwasababu ninakumbuka Msaada wake"
Maneno hayo alifunguka Majizo aliipoojiwa na waandishi wa habari pale nyumbani kwa mama yake na Ruge Mikocheni.
Mwili wa Ruge unatarajiwa kufika siku ya Ijumaa ukitokea Afrika Kusini na kuagwa Jumamosi na kisha utasafilishwa mpaka kwao Bukoba Kwa shughuli za mazishi kama ilivyo amuliwa na Familia ya Ruge Mutahaba.
[https://4]
CHANZO
www.msakaji.com
Sent using Jamii Forums mobile app