Lakini siyo mpasha habari. Anatakiwa asubili habari rasimi ndiyo atoe neno.rais ana vyanzo vingi vya taarifa
Protocol haipo hivyo. Ndiyo maana hata habari zake hapaswi kutoa yeye. Kunakurugezi ya habari ya ikuruKumbuka rais alikuwa karibu sana na Ruge kwa hiyo ni lazima waangalizi wa mgonjwa wampe taarafa directly.....
Sio jambo la kuhoji.
Officially inaonekana msiba wa ruge kama umetangazwa na rais. Hii siyo sawa.Familia iliamua hivyo ingawa wale inner circle wa familia walijua.
Pia kuna uzi wa tetesi humu mida ya saa moja au kumi na mbili hivi siku hiyo ulitoa taarifa humu kuwa kuna tetesi tuge kafariki hivyo rais sio wa kwanza kutoa taatifa hiyo.
Protocol zimekiikwa. Twitter ya rais ilitakiwa kutoka baada ya official habari kwa jamii kutika.In some very rare situations almost exclusive ones... The majesty should be notified first.... BAE (if you can use this) it might be a coicedence OR deliberately planned... Or just common errors in human pre-planned missions
Jr[emoji769]
Kwa. Hiyo. Ile hela ya mchango ndo ilikua ya kulipa garama na kutoa mwili?Huyu alikufa siku nyingi sema hela ya kulipia na kutoa mwili ikawa shida
Sent using Jamii Forums mobile app
tumia kiswahiliIn some very rare situations almost exclusive ones... The majesty should be notified first.... BAE (if you can use this) it might be a coicedence OR deliberately planned... Or just common errors in human pre-planned missions
Jr[emoji769]
Ikulu....ikuru....Protocol haipo hivyo. Ndiyo maana hata habari zake hapaswi kutoa yeye. Kunakurugezi ya habari ya ikuru
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli acha uongo, au unataka kuingiza siasa mpaka misibaniMimi binafsi hua nina questioning mind, hua sikubaliani na kila ninachoambiwa bila kujiuliza.
Kwa maelezo ya mwana familia, Ruge alifariki majira ya sa kumi jioni siku ya juzi tarehe 26.2.2019 huko kwa Mzee Mandela.
Katika hali ya kawaida najua watu wa kwanza kujua habari ya kifo ni wanafamilia pamoja na ndugu na marafiki wa karbu mapema kabisa baada ya mpendwa wao kuwatoka. Hili la Ruge limekua tofauti, baada ya kupita takribani masaa 4 baada ya kifo, taarifa ya kifo imekuja kutolewa kwa hadhara na Mheshimiwa Rais.
Najiuliza tu, ilikuaje rais ndio akawa mtu wa kwanza kuujulisha umma kifo cha Ruge. Hakuna asiejua kua Ruge ni mtu maarufu ila hakua kiongozi wa kisiasa.
Najiuliza tu.
...alikuwa anamkubali sana Ruge lakini Klauz ilipovamiwa alimtimua kazi mtetezi wa Ruge.Hii ndo point...na alichangia mil 50, na Rais alikuwa anamkubali sana Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikuru ikuru[emoji1787][emoji1787][emoji16]Ikuru
Ikulu....ikuru....
Ruge hawezi kutangazwa na kurugenzi ya ikulu.
Kama familia imekaa kimya....haimzuii rais ku tuiti
Sio kada mtiifu ni kada mkubalifu
Sio kila mtu ana umasikini wa hela kama wewe. Wengine tunatafta wanawake. Ni pm namba yako mtoto mzuri.
Kinachoongelewa si vyanzo bali wadhifa wa marehemu kwa taifa na si kwa CCM!rais ana vyanzo vingi vya taarifa
Sio kada mtiifu ni kada mkubalifu