TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Shoga nkupe umbea Zama naskia kalia mpk kugaragara sebuleni huko msibani[emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]nimechekaaa Mimi acha kabisaa!nkasema kaah!unaafiki hautuishi wabongo
[emoji4][emoji4][emoji4]..leo unasema hvyo tukimove on siku nyinhine mtasema wanawake huwa waharidhiki..alikua malaya tu..kha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shoga nkupe umbea Zama naskia kalia mpk kugaragara sebuleni huko msibani[emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]nimechekaaa Mimi acha kabisaa!nkasema kaah!unaafiki hautuishi wabongo

Sent using Jamii Forums mobile app


😂😂😅😅😅Shauri zake kiduku boy atamucha hajui kuolewa nwdsy dili..hahhaa aisee nie ningembrutia nje namweka kweye kona namwambia lilia hapa wifi😂😂
 
Shoga nkupe umbea Zama naskia kalia mpk kugaragara sebuleni huko msibani[emoji23][emoji16][emoji3][emoji3]nimechekaaa Mimi acha kabisaa!nkasema kaah!unaafiki hautuishi wabongo

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyo cheusi mangala atuache jamani, anajiliza nini mnafiki mkubwa huyo?
Kuachana na Ruge sio kosa, ni mapenzi ambayo ni uamuzi wake binafsi.

Mimi tokea avujishe zile voice notes alinikera sana.
Ningekuwa mimi ndio Kemilembe ningemzibua vibaoooo [emoji23][emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]Shauri zake kiduku boy atamucha hajui kuolewa nwdsy dili..hahhaa aisee nie ningembrutia nje namweka kweye kona namwambia lilia hapa wifi[emoji23][emoji23]

Ya Zari na Ivan soon yanaenda kujirudia jamani! Yule mission town siwaoni wakidumu haki!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna watu wanadhani hekima anazozizungumza mjomba kwenye mashairi yake, basi hata kwenye maisha nje ya sanaa ndivyo alivyo, mnabet wandugu.
Kaja rais mstaafu na mkewe, waziri mkuu mstaafu na mkewe, naibu spika, rcz na dcz, dedz, wabunge na mawaziri, ceo's mbalimbali, wasanii kibao, mediaz rundo ziko msibani. Hao watajisikiaje kuona uwepo wao haujakuwa kamilifu mpaka aje fulani.
Acha zako mjomba, akija ndio iweje halafu, ungemtumia meseji au kumpigia simu ungepungua nini?
 
Hata mi nilijiuliza lkn bora mkalale mkalishe mbu chakula yao
 
Ya Zari na Ivan soon yanaenda kujirudia jamani! Yule mission town siwaoni wakidumu haki!


Sent from my iPhone using JamiiForums
hawana muda mbele..kwanza akili zao hazijafanana.ingawa na zama anafake sana..zama atakuja mchoka mtoto huyo..watachokana..nw bado wanafake..
uhenga una raha yake ati😊
 
Yani Masaa manne baada ya Tukio kutangazwa unaona Ajabu Rais kupost kwenye twitter yake au??? Ebu tafuta hao wanawake zako maana unachoweza ni Umalayaa tuu...paka poriii...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watanzania na mitandaoo...!! yani mnamuamini yule mpuuzi wa Facebook??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamani Ruge amefia hospitali gani Afrika Kusini tuliopo huku tukamuage??

Sent using Jamii Forums mobile app
Kongo sio kongowe
Ungeuliza funeral home Gani yupo ? Unafikiri mtu akifa nchi kama hizo maiti lazima huwa hospitali mortuary kama Tanzania!!!! Mtu uko Tanzania unajitia uko Africa kusini hivi mikoa ya kusini ni Africa ya kusini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…