Kama aliwanyonya .... kutokana na kutojibeba kwao...si wanasema amewanyonya sana wasanii?? nadhan ni furah kwa wasanii..mie yangu macho
Mvua ikinyesha litajaa Maji.Hii imenishangaza sana kwa kweli wahaya wameanza ujenzi wa kaburi leo mazishi siku tatu zijazo mbona mapema sana au litakuwa la ghorofa? au litakuwa lina underground
Si vibaya kuzikwa kwenye makaburi ya ukoo.Kiini cha swali kutoka kwenye uzi huu ni kutaka kujua;Je,bwana Ruge alikuwa na kwake/mji wake mwenyewe?Nimeona niende moja kwa moja tu.Si ni makaburi ya ukoo
SawaSi vibaya kuzikwa kwenye makaburi ya ukoo.Kiini cha swali kutoka kwenye uzi huu ni kutaka kujua;Je,bwana Ruge alikuwa na kwake/mji wake mwenyewe?Nimeona niende moja kwa moja tu.
Jambo.hani?Kuna watu watabir humu jf kuna Uzi ulianzishwa hata wiki haijaisha kuhusu yule binti kipepeo kutapeliwa pesa Yale na Rughe
Kuna mchangiaji mmoja akasema Ruge tayar kishakufa na familia yake kina jambo wanalitengeneza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona umeulizwa swali jepesi unarusha cheche?Kwa hiyo na mzee Mutahaba (kama naye baba yake yupo)akazikwe kwa baba yake akifa?kwa profesa Mtahaba
unadhani ye anasemaje kama si 'nimepoteza mtoto/kijana wangu Ruge"
ama hujui mtoto kwa wazazi hakui, mnatoka Rusumo huko hata kiswahili hamfahamu mnakuja kutusumbua.
ko unahisi kuwa na miaka 49 imeondoa utoto wake kwa wazee wake
pimbi wewe
Karma...Mtoa mada... Ulishawahi uguza ndugu yako wa karibu,jamaa au rafiki???
Kwenye matibabu iko hivi,hasa tatizo alilokua nalo marehemu Ruge,huwezi fanya surgery ya kidney plant kama mgonjwa pressure yake ipo juu sana..
Na hii labda ndiyo tatizo lililokua linamsumbua marehemu Ruge hadi wakashindwa kumufanyia,walikua wana control pressure ishuke then wafanye mambo....
Mwaka juzi nilipoteza kaka yangu pale Bugando hospital,alipata stroke, pressure ikapasua mishipa ya damu kichwani,akazima for seven days,siku ya nane akafariki....
Kila wakitaka mpeleka kwenye chumba cha upasuaji,pressure iko juu,wanashindwa mpasua,wanaanza control pressure...
Ogopa sana, mtu kama Ruge alipatwa na majanga haswa kutoka serikalini na kwa mpenzi wake Zamaradi
1. Kuvamiwa Clouds Fm na rafiki yao mkubwa,halafu mamlaka za juu zikamwacha mvamizi wake,bila yakumpa adhabu yoyote... Hapa alipata maumivu makubwa sana,hakuamini macho yake,kama serikali ya ccm inayotumia kituo chake kwenye propaganda zao leo hii wamekua watesaji wake...
2. Kuachwa na mzazi mwenzake Zamaradi na kwenda kuolewa sehemu nyingine,Ruge alijaribu kuomba samahani kwa mwenzake hadi akawa analia,yule mwanamke alikua ana mrekodi,akaitoa audio na kuisambaza,hapa napo aliumia...
Serikali kuzuia matamasha yake,mara vile anaandaa tamasha,dakika za mwisho ananyimwa kibali,walikua wapi kumunyima tangu mwanzo,kaingia gharama kiasi gani kuandaa hilo tamasha? Je wa zamini wataendelea fanya kazi na Ruge tena???
Pumuzika kwa Aman kaka Ruge...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ruge Mutahaba ndio Muhaya maarufu zaid Ulimwenguni lakin tofauti Na watani zangu hao, hakuwa Mr Misifa
Ruge asingekuwa firm, Basi Makonda angegeuza Clouds Ni kipaza sauti chake
Sasa hivi atakuwa Na Mipaka lakin asingedhibitiwa Na Ruge Pengine tungekuwa Na Paul Makonda Hour Kama Hamza Kasongo hour Kule Channel ten
Kanugila karimu ..katuliiia huko...Wanakera balaa
Wachawi washanichokonoa(***** zao)
Kama Ruge sitamzika na ban sijui tu kuna watu wanakereketa mpaka basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasemekana hivyo... alijitahidi!Ana watoto wa kutosha kuna tetesi ana mjukuu kwa first born wake
Pole sana mkuu ...si kwa povu hilo...Nina andika uzi huu nikiwa na hasira vibaya mno!
Kwanza nimechukia mtu kama Diamondi kutwezwa na jamii ya akina Mrisho mpoto wakimuona kama mtu muhm sana katika msiba wa Ruge ,kwa ufupi wanao mchukia Ruge wana nini?
Kwa ufupi hawana elimu ni vichwa maji wanao bebwa na upepo wa kuimba tukiamua kuto sikiliza upuuzi wao hawana kazi nyingine ya kufanya zaid ya hiyo!
Mtu kama Huyo Binti jide ni ovyo kabsa hakuna mwanamke ambae hana stara kama huyu mwanamke kinachombeba ni miziki yake ila ni miongoni mwa wanawake wasio na adabu katika jamii.
Kwa ufupi diamondi na jide tofautisheni clouds na TBC ili mjue mlitendalo!
Mwisho Diaamond husiende msibani huna lolote la kufanya pale, pesa ulizo nazo ni kwa vimeo wenzako wasio na elimu wenzako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda kwa kuwa familia ya ruge ... wanajua zaidi.. kuishi na kuachana kwaoHuyo cheusi mangala atuache jamani, anajiliza nini mnafiki mkubwa huyo?
Kuachana na Ruge sio kosa, ni mapenzi ambayo ni uamuzi wake binafsi.
Mimi tokea avujishe zile voice notes alinikera sana.
Ningekuwa mimi ndio Kemilembe ningemzibua vibaoooo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums