TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Kuna watu watabir humu jf kuna Uzi ulianzishwa hata wiki haijaisha kuhusu yule binti kipepeo kutapeliwa pesa Yale na Rughe

Kuna mchangiaji mmoja akasema Ruge tayar kishakufa na familia yake kina jambo wanalitengeneza

Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo.hani?

Wafiche kwa nini..
kama ni bili ya hospitali sidhani kama walishindwa kulipa hata kwa kuchangishama.Wahaya wenye pesa wana umoja sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa profesa Mtahaba

unadhani ye anasemaje kama si 'nimepoteza mtoto/kijana wangu Ruge"

ama hujui mtoto kwa wazazi hakui, mnatoka Rusumo huko hata kiswahili hamfahamu mnakuja kutusumbua.

ko unahisi kuwa na miaka 49 imeondoa utoto wake kwa wazee wake

pimbi wewe
Mbona umeulizwa swali jepesi unarusha cheche?Kwa hiyo na mzee Mutahaba (kama naye baba yake yupo)akazikwe kwa baba yake akifa?
 
Kifo hakitakatishi ubaya ulionifanyia kipindi UPO hai,HATA kama nikija msibani ikitokea ukafufuka najua bado utazidi niumiza tuuu so Kwa swala la diamond na Jide nakubaliana nao kwa asilimia 100%. Hata ingekua mimi nisingerusha mguu wangu msibani.

Tusijidanganye marehemu hana kosa, SO eti akifariki ndio tufute makosa yake yoooteee HAPANA HAPANA hata Mungu hana ROHO nzuri ivyo..Ukifa ukiwa jambazi,kibaka,tapeli,mvuta bangi,muuwaji, nk nk nk Ukija fufuliwa siku ya mwisho MUNGU anakutupa JEHANAMU YA MOTO.

Ukishindwa rekebisha maisha yako kipindi cha uhai wako basi hamna wakukusafishia..Mondi Jide mko sahihi Simameni hapo hapo msiwe wa wanafki.
 
Mi nimejifunza
1. Maisha ya duniani mafupi sana
2. Ukifa huna thamani tena
3. Kuwekeana mabifu ni kitu kibaya sana, jitahidi sana uwe peace na watu
4. Hela si kitu, ingawa ni lazima uwe nazo, usiondoe utu wa wenzako sababu ya pesa
5. Dunia ina watu wanafiki sana, mbunge anapigwa risasi viongozi wa juu hawatoi msaada, lakini wengine wanakufa watu wanatoa ndege, marehemu na alie hai nani ana thamani=UNAFIKI......... Infact ukifuata hoja namba 1-4, hotokua kama namba 5.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada... Ulishawahi uguza ndugu yako wa karibu,jamaa au rafiki???

Kwenye matibabu iko hivi,hasa tatizo alilokua nalo marehemu Ruge,huwezi fanya surgery ya kidney plant kama mgonjwa pressure yake ipo juu sana..

Na hii labda ndiyo tatizo lililokua linamsumbua marehemu Ruge hadi wakashindwa kumufanyia,walikua wana control pressure ishuke then wafanye mambo....

Mwaka juzi nilipoteza kaka yangu pale Bugando hospital,alipata stroke, pressure ikapasua mishipa ya damu kichwani,akazima for seven days,siku ya nane akafariki....

Kila wakitaka mpeleka kwenye chumba cha upasuaji,pressure iko juu,wanashindwa mpasua,wanaanza control pressure...

Ogopa sana, mtu kama Ruge alipatwa na majanga haswa kutoka serikalini na kwa mpenzi wake Zamaradi
1. Kuvamiwa Clouds Fm na rafiki yao mkubwa,halafu mamlaka za juu zikamwacha mvamizi wake,bila yakumpa adhabu yoyote... Hapa alipata maumivu makubwa sana,hakuamini macho yake,kama serikali ya ccm inayotumia kituo chake kwenye propaganda zao leo hii wamekua watesaji wake...

2. Kuachwa na mzazi mwenzake Zamaradi na kwenda kuolewa sehemu nyingine,Ruge alijaribu kuomba samahani kwa mwenzake hadi akawa analia,yule mwanamke alikua ana mrekodi,akaitoa audio na kuisambaza,hapa napo aliumia...

Serikali kuzuia matamasha yake,mara vile anaandaa tamasha,dakika za mwisho ananyimwa kibali,walikua wapi kumunyima tangu mwanzo,kaingia gharama kiasi gani kuandaa hilo tamasha? Je wa zamini wataendelea fanya kazi na Ruge tena???

Pumuzika kwa Aman kaka Ruge...

Sent using Jamii Forums mobile app
Karma...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nadhani itifaki imezingatiwa.jamaa alikuwa mtoto wa mama bado,niulize kwanini?

Marehemu alikuwa hajaanza kujitegemea ile kisawa sawa maana hakuwa na mke {kuwa na watoto siyo kwamba ndo ukubwa} kinachoangaliwa je uliweza kummiliki mtu ndani?

Nimeipenda style ya baba yake na ameenda vizuri sana kama neno la Mungu linavyosema nitanukuu “Mwanaume/Mwanamke ataachana na wazazi wake na ataambatana na mkewe/mumewe” na marehemu hakuwai kufanya hivi wazazi wanayo haki ya kusimamia mazishi ya mtoto wao kwenye nyumba wanayoishi wao.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Haswaaa
Uko sawa sawa kabisa
Ruge Mutahaba ndio Muhaya maarufu zaid Ulimwenguni lakin tofauti Na watani zangu hao, hakuwa Mr Misifa

Ruge asingekuwa firm, Basi Makonda angegeuza Clouds Ni kipaza sauti chake

Sasa hivi atakuwa Na Mipaka lakin asingedhibitiwa Na Ruge Pengine tungekuwa Na Paul Makonda Hour Kama Hamza Kasongo hour Kule Channel ten

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina andika uzi huu nikiwa na hasira vibaya mno!

Kwanza nimechukia mtu kama Diamondi kutwezwa na jamii ya akina Mrisho mpoto wakimuona kama mtu muhm sana katika msiba wa Ruge ,kwa ufupi wanao mchukia Ruge wana nini?

Kwa ufupi hawana elimu ni vichwa maji wanao bebwa na upepo wa kuimba tukiamua kuto sikiliza upuuzi wao hawana kazi nyingine ya kufanya zaid ya hiyo!

Mtu kama Huyo Binti jide ni ovyo kabsa hakuna mwanamke ambae hana stara kama huyu mwanamke kinachombeba ni miziki yake ila ni miongoni mwa wanawake wasio na adabu katika jamii.

Kwa ufupi diamondi na jide tofautisheni clouds na TBC ili mjue mlitendalo!

Mwisho Diaamond husiende msibani huna lolote la kufanya pale, pesa ulizo nazo ni kwa vimeo wenzako wasio na elimu wenzako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu ...si kwa povu hilo...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo cheusi mangala atuache jamani, anajiliza nini mnafiki mkubwa huyo?
Kuachana na Ruge sio kosa, ni mapenzi ambayo ni uamuzi wake binafsi.

Mimi tokea avujishe zile voice notes alinikera sana.
Ningekuwa mimi ndio Kemilembe ningemzibua vibaoooo [emoji23][emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
Labda kwa kuwa familia ya ruge ... wanajua zaidi.. kuishi na kuachana kwao
shida ilianza kwa nani!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom