[emoji125][emoji125][emoji125]Zari tena. Zama hawezi kipata kikombe cha zari kikubwa mno. Kumbuka Ivan hakua na ndugu wenye nguvu na mamlaka kama Ruge. Msiba wa ivan ulisimamiwa na Rich gang zaidi kuliko ndugu wakati Ruge show nzima ipo kwa wazazi na serikali kwa asilimia ndogo
Ni usiku huko kwenuGoodnight usie na wivu
Mnasengenya sana! Ahsante
Mbona wanasema Nandi alipokuwa na mimba alipima ngwengwe pia. Akakutwa kishaungua ndo akaamua kutoa na mimba. Tena kipindi hicho marehemu ndo kaanza kuugua. Nadhani alikuwa kishatoka India.Ka marehemu shoga. Zama alivumilia hadi akina Shadee ila naona kwa Nandy uvumilivu ulimshinda.
Sasa inaonekana kabibie kalimuambia “Baby it’s too early kuwa na mtoto, ngoja tuvute muda kidogo tukioana tutazaa” kumbe ndio alikuwa aachiwe kumbukumbu, loooh!
Maana nasikia mpendwa wetu aliyetangulia kwa ahadi za ndoa tu alikuwa hajambo. Anakubembeleza umzalie kisha atakuvika pete na ndoa ifuate kumbe wapi! Ukibeba mimba ndio ndoa yenyewe 🤣🤣🤣
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hawakuachana kisa cha dini..
Na kwa uumini gani mpaka zama akatae kuolewa??
Kuna mengine!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kuna mmoja alielezea mambo ya marehemu chumbani, alifungukaga balaa umuwahi kukutana na hiyo screenshot?Ka marehemu shoga. Zama alivumilia hadi akina Shadee ila naona kwa Nandy uvumilivu ulimshinda.
Sasa inaonekana kabibie kalimuambia “Baby it’s too early kuwa na mtoto, ngoja tuvute muda kidogo tukioana tutazaa” kumbe ndio alikuwa aachiwe kumbukumbu, loooh!
Maana nasikia mpendwa wetu aliyetangulia kwa ahadi za ndoa tu alikuwa hajambo. Anakubembeleza umzalie kisha atakuvika pete na ndoa ifuate kumbe wapi! Ukibeba mimba ndio ndoa yenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa Dina ilikuwaje tenaUmepotelea wapi ? Zama alaaniwe kabisa,kujipendekeza kwa Marehemu Ruge,hadi Ruge akaingia line wakazaa,Dina akapoteza kazi. Snitch Zama mwisho wake mbaya. Aliniudhi sana alipovujisha audio za Ruge akililia penzi.
Nakumbuka ile ishu tulibishana na rafiki yangu hadi tulinuniana yaani alinichefua yule mwanamke, ila kile kitendo atakuja kukijutia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliona ndio njia ya kujipoza machungu yake...Mimi alinichefua alipovujisha ile audio yaani nilimuona popoma wa kiwango cha esijiara...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ataachwa tu, we unadhani kijana mdogo yule atakubali kuishi na Zama maisha yote, kama sio kuachwa basi ataoa tena kijana mwenzie
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa hatusengenyi bwana, hata Zama mwenyewe kama yupo Jf anaweza akapita akasomaMnasengenya sana! Ahsante
Yani namaanish Zari alimtesa na kumpa stress mwanaume aliyempenda kiukweli kwa ajili ya Diamond kama ilivyo kwa Zama na Marioo.
Mwisho Ivan mwenye real love akafa kwa stress kama mpendwa wetu na Diamond akamtenda Zari, imebaki historia.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Akisema muhusikabbasi anahesabikaKama ni miezi sita basi angekua na wake wengi ujue
Mmh hivi mkubwa yule? Mimi nilijua kapo kwenye mid 20sKwani Shabani ni mdogo yule? Mbona naona kama wanalingana? Japo Zama nae sura siku hizi imesawijika hata makeup haikai tena ila atakuwa na 35/36 yule.
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji3][emoji3][emoji3] daah huyo wa mashati kiboko. Ni nani?Hakuna sehemu nimesema wameachana bali mmoja alitoswa. Mengine inawezekana zama alichoka kurushwa roho na wake wenzie. Kuna mmoja alikua na mimba wacha avae mashati ya R na kujipost mtandaoni
Sijamuona kabisa mwaka huu hata huko insta nilishamu-unfollow sikuwa hata na habari naeIla shoga naona Zama ana stress tokea mwaka huu uanze. Haki mtazame sura yake utaona kabisa kama amezeeka ghafla kwa stress.
Tumuombee jamani wale watoto wadogo mno wasijebaki yatima [emoji24][emoji24][emoji24]
Kitendo alichokifanya na kama hakuwahi kumuomba msamaha marehemu atajutia maisha yake yote maana nasikia marehemu alimuambia mtu wake wa karibu kuwa akina Soudy Brown walimkera sana walipomshambulia Zama, that means hakuwa yeye aliyewatuma kama tulivyodhani.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umepotelea wapi ? Zama alaaniwe kabisa,kujipendekeza kwa Marehemu Ruge,hadi Ruge akaingia line wakazaa,Dina akapoteza kazi. Snitch Zama mwisho wake mbaya. Aliniudhi sana alipovujisha audio za Ruge akililia penzi.