[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] daah marehemu nae alikuwa mshenzi anamvalisha mwenzie hadi mashati kisha anamtelekeza, Zama angevumilia tu aisee ale mbivu kwani shngapi bwanaNimemsahau jina halafu baada ya kujifungua akawa wa kwanza kulalamika kutelekezwa
We masikini tu mbwa wew ungekua na ela ungekuja kudiscus mambo ya marehemu humuSio kila mtu ana umasikini wa hela kama wewe. Wengine tunatafta wanawake.
Mbona wanasema Nandi alipokuwa na mimba alipima ngwengwe pia. Akakutwa kishaungua ndo akaamua kutoa na mimba. Tena kipindi hicho marehemu ndo kaanza kuugua. Nadhani alikuwa kishatoka India.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kuna mmoja alielezea mambo ya marehemu chumbani, alifungukaga balaa umuwahi kukutana na hiyo screenshot?
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu alisababisha Dina asirudishwe kazini. Juzi ndo nilishangaa kumbe Zama aliunganishwa kwa Ruge na babu tale. Zama mwenyewe alisema kwenye ile interview clouds 360.Wivu tu akamchongea Dina. Zama mswahili na alimtumia marehemu kama daraja tu,sema hakutaka na wenzake kina Dina waendelee pia. May be aliogopa Dina angempokonya Ruge.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hata mimi nilisikia mwenzangu! Alipost Milly kwa code [emoji23][emoji23][emoji23]
Billnass alipanic maana watu walianza kumtania kaungua akaenda kupima hadi akaweka majibu ya vipimo insta.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivyo results za insta wala usiziamini. Mtu anaweza kupost ili kuifanya jamii isimfikirie kivingine.Hata mimi nilisikia mwenzangu! Alipost Milly kwa code [emoji23][emoji23][emoji23]
Billnass alipanic maana watu walianza kumtania kaungua akaenda kupima hadi akaweka majibu ya vipimo insta.
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji3][emoji3] hiyohiyoIle ya maneno matamu? Hahaaaaa
Mpendwa wetu nae alikuwa mpanaaaa! Akamdatisha Feza masikini akamvisha hadi pete! Feza alipokuja kuachwa hakuamini hadi leo kawa msagaji huru!
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] daah marehemu nae alikuwa mshenzi anamvalisha mwenzie hadi mashati kisha anamtelekeza, Zama angevumilia tu aisee ale mbivu kwani shngapi bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante madame ila nataka kujua kisa kilikuwajeAcha tu alisababisha Dina asirudishwe kazini. Juzi ndo nilishangaa kumbe Zama aliunganishwa kwa Ruge na babu tale. Zama mwenyewe alisema kwenye ile interview clouds 360.Wivu tu akamchongea Dina. Zama mswahili na alimtumia marehemu kama daraja tu,sema hakutaka na wenzake kina Dina waendelee pia. May be aliogopa Dina angempokonya Ruge.
Nimemsahau jina halafu baada ya kujifungua akawa wa kwanza kulalamika kutelekezwa
sasa wewe ni Imani gani hiyo uliyonayo ya visasi, imeandikwa samehe sabini mara sabini.Kifo hakitakatishi ubaya ulionifanyia kipindi UPO hai,HATA kama nikija msibani ikitokea ukafufuka najua bado utazidi niumiza tuuu so Kwa swala la diamond na Jide nakubaliana nao kwa asilimia 100%. Hata ingekua mimi nisingerusha mguu wangu msibani.
Tusijidanganye marehemu hana kosa, SO eti akifariki ndio tufute makosa yake yoooteee HAPANA HAPANA hata Mungu hana ROHO nzuri ivyo..Ukifa ukiwa jambazi,kibaka,tapeli,mvuta bangi,muuwaji, nk nk nk Ukija fufuliwa siku ya mwisho MUNGU anakutupa JEHANAMU YA MOTO.
Ukishindwa rekebisha maisha yako kipindi cha uhai wako basi hamna wakukusafishia..Mondi Jide mko sahihi Simameni hapo hapo msiwe wa wanafki.
Kwa Zama najua maana mimi tangu nasoma Zama alikuwa clouds, nilikuwa namsemea mumeweUna wazimu wewe [emoji23][emoji23][emoji23] Zama kikongwe kile shoga basi tu ana mwili mzuri.
Mashoga zake wa utotoni wengi wapo kwenye mid 30’s
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mimi nakumbukaVipi Ray C nae hukuona au hukujua mapenzi yao mubashara?
Hivi mnakumbuka ile birthday ya mpendwa wetu aliyetangulia nadhani ilikuwa mwaka 2015 hivi ilivyoleta balaa?
Keki zilikuwa 4 kutoka kwa mababy tofauti, kila mmoja kampost insta na maneno mazito mazito!
Sent from my iPhone using JamiiForums
vizuri, kuna ambao hawapendeki hawa unawaweka kweny kundi gani kwako KashashaYap nimejifunza kuishi vizuri na watu na kuwa na upendo kwa Kila mtu bila kujali mwenye nacho na asiye nacho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila mtu ana umasikini wa hela kama wewe. Wengine tunatafta wanawake.
Sijamuona kabisa mwaka huu hata huko insta nilishamu-unfollow sikuwa hata na habari nae
[emoji3][emoji3][emoji3] akina Sudy walijituma ili wamfurahishe boss kumbe mwenyewe hajapenda
Sent using Jamii Forums mobile app
Story ndefu. Dina alisimulia mwenyewe.Alienda likizo ya uzazi,akaambiwa atahamishiwa kwenye tv.kasubiri wee,baadae ndo ikawa bye bye. Behind the scine,ikasemekana Zama hakutaka Dina arudi mjengoni hivyo akamconvice Boss Ruge amfute Dina kazi. Chanzo ni Zama,chuki binafsi.