TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Ray c nakumbuka enzi za mimba ya shubi akatoa dongo la "marry me cant u see am pregnant again" zama akaufyata. Mange akachekelea na u turn yake iliyokua inaelekea kufa
 
Mimi nisingejaribu jamani [emoji3][emoji3] bora nililie kwenye range kuliko kuchekea kwenye tukutuku...jokes

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na chuki pia wivu mkali,kipindi alichokua anaendesha Dina kilikua moto sana na blog ndo usiseme
 
Daah yani kamfuta tu kazi bila kosa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka rais alikuwa karibu sana na Ruge kwa hiyo ni lazima waangalizi wa mgonjwa wampe taarafa directly.....
Sio jambo la kuhoji.
Yeye ndio alikuwa muuguzi au!? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata sijui kwanini nimekoment[emoji23][emoji23]

Sent using my nokia ya tochi
 
Mkuu umemaliza kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo results za insta wala usiziamini. Mtu anaweza kupost ili kuifanya jamii isimfikirie kivingine.

Ni sawa na ile ya Baby Madaha, watu walimchambaaaa.
Ni kweli, kama kapima mwenyewe na kapost mwenyewe nitamuamini vipi!

Ila hawa wadogo zetu tamaa zitawauwa. Kale Kanandy kama kameungua kweli masikini mtoto vile na wazazi wake wale wanaomtegemea kila kitu!
Siku hizi yupo na Joho 001


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa Zama najua maana mimi tangu nasoma Zama alikuwa clouds, nilikuwa namsemea mumewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Aaaaah hata mumewe yule anaonekana sio mdogo pia nionavyo mimi. Anaonekana mshamba tu ila anavyoringa sasa? Tokea amnyang’anye mwanamke mtoto wa mjini anajiona yeye ndio yeye.

Ile siku ya 40 alivyokuwa anakuna kitambi nilichefukwaaaa! Eti “Unajua mimi sio mtu wa media kabisa” Like who the hell he is jamani?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sema siku hizi kuna dawa ukijikubali na kunywa dawa unaishi miaka mingi tu. Huoni mjane wa yule wa BOT kazaa. Yule Joan aliyekuwa mpenzi wa yule mhonga magari mekundu BOT. Nimemsahau jina. Umeme mtu akiukwaa,kujikubali,dawa masharti anaishi miaka hata 50.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti sio mtu wa media hata angekuwa nani yuko interested? Mwanzoni walisema mtoto wa Majaliwa tukasema waaooh, daah kumbe

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Halafu haka Kazama kamegate away na vitu vingi sana. Ila hili jambo lilimuuma kila mtu, nami nikiwemo. Dina ana kipaji sana yule dada na Mungu hakumtupa kampa kipindi kwenye redio ambayo soon inaenda kutake over maana Clouds ndio baibai.
Zama yeye sasa hivi hana lolote, kabaki na magazeti yake instagram [emoji23][emoji23][emoji23]

Eti anajiita akili kubwa, content provider sijui nini.
Yani kutoka kwenye TV kubwa mpaka mpango alio nao wa kufungua YouTube channel ni aibu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hivi kwani si yupo wasafi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ray c nakumbuka enzi za mimba ya shubi akatoa dongo la "marry me cant u see am pregnant again" zama akaufyata. Mange akachekelea na u turn yake iliyokua inaelekea kufa

Hahaaaaa nakumbuka Ray alichamba sijui Bi*ch keep on popping em kids sijui nini

Ila mpendwa wetu marehemu alikuwa kwenye penzi motomoto kwelikweli na Ray wakati ule, Bi Mkora (Zama) akaingia kati alipambana mpaka akawasambaratisha.
Ray kwa stress akayarudia tena madawa [emoji24][emoji24][emoji24]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hana lolote,kumbe anawadanganya wafuasi wake watume ideas awape mitaji,ideas anaziitumia yeye na mitaji hawapi. Zero brain tu yule ashukuru kumseduice Ruge lasivyo hana lolote yule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…