Cha ajabu ITV Walikuwa wa kwanza kutangaza taarifa ya msiba kabla ya clouds kulikuwa na nini
Sema siku hizi kuna dawa ukijikubali na kunywa dawa unaishi miaka mingi tu. Huoni mjane wa yule wa BOT kazaa. Yule Joan aliyekuwa mpenzi wa yule mhonga magari mekundu BOT. Nimemsahau jina. Umeme mtu akiukwaa,kujikubali,dawa masharti anaishi miaka hata 50.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti sio mtu wa media hata angekuwa nani yuko interested? Mwanzoni walisema mtoto wa Majaliwa tukasema waaooh, daah kumbe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana lolote,kumbe anawadanganya wafuasi wake watume ideas awape mitaji,ideas anaziitumia yeye na mitaji hawapi. Zero brain tu yule ashukuru kumseduice Ruge lasivyo hana lolote yule.
Yes Liyumba,Kumbe aliachana na mmewe. Maana inasemekana wote wawili walioana wakiwa wameungua. Sasa kaamua kuzaa na nani sijui. Mji wa Dar una mambo.Shoga director kaniacha hoi? Halafu nasikia mume wake kaachana nae mwenzangu! Yule baba waliyefunga ndoa kwa mbwembwe kibao!
Bado shoga ake Junaither nae na yule marioo wake Mussa hahaaaaa
Yule kigogo hakuwa akiitwa Liyumba kweli? Ila yule baba nae kaacha orodha ndefu? Nasikia hadi mke wa machache mdomo koma [emoji40][emoji40]
Kweli, kujikubali ndio kila kitu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yani mapinduzi ya movie ambayo yeye kachomeka scene tu. Sasa atatia akili na child support ndo imeondoka. Maana Ruge mwenyewe kaacha utitiri wa watoto mama wenyewe ndo hao. Ndugu wa Ruge hawatahudumia kama alivyokuwa anahudumia Ruge. Sasa ndo atajiita mjane ili wonderwomen wawe wanamchangia.Hahaaaaa jamani yale mambo ya kuwatapeli wadada wa kwenyw magroup ya wonder women nilichekaaaaaaa! Akamuweka ndani Milly wa watu kisa alituhabarisha yanayoendelea.
Naona ana safari ya Mtwara anaenda kuonana na wanawake huu msiba umetokea nadhani angekuwa huko saa hii.
Nasubiri hayo mapinduzi yake ya bongo movie na ile movie yao uchwara hapo April.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mtu alitoa Mil 50, ulitarajia awe wa mwisho kupewa habari?!!
Hatuna ndoa.
Eneo hilo na Bukoba mjini kuna umbali. gani? km kutoka mjini then Bukoba mjini kuna nyumba Kali kuliko sehemu yoyote Kagera ushaenda kahororo kashura kitendaguro kibeta itahwa nyamkazi kagemu kyakairabwa nshambya au unaishia mjini katiKila kabila Lina tamaduni zake.wahaya Wana utamaduni WA kuzika kwenye shimbuko la ukoo.
Tabia hii imesaidia pia wanaukoo kujenga nyumba zao za ukoo vzr maana watazikwa huko ndo bukoba vijijini kuna nyumba nzr hata kuzidi za bukoba mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuliko bashite?Kumbuka rais alikuwa karibu sana na Ruge kwa hiyo ni lazima waangalizi wa mgonjwa wampe taarafa directly.....
Sio jambo la kuhoji.
Na wengine tulipata kupitia taarifa ya habari ya saa mbili ITVMimi nadhani familia na watu wa karibu walikuwa tayari wanajua ila Mimi na wewe ndio tulipata taarifa kupitia tweet ya Rais
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mm niliona ITV, niliporudi clouds sikukuta habari yoyote khs msiba. Then nikaingia kwa social media napo sikuona, baada ya km nusu saa hv ndio tweet ya Rais ikaanza kusambaa na social media wakapata habari ndio zikaanza breaking news.Cha ajabu ITV Walikuwa wa kwanza kutangaza taarifa ya msiba kabla ya clouds kulikuwa na nini
Naona muendelezo wa code hadi huku 😀Best usijitoe ufahamu....toka lini stone akawa over bashiiite?...tuseme ukweli[emoji44]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kbs, watu wa kwanza kutangaza ni ITVNashangaa hakuna hata mmoja aliyekupa jibu. Rais hakutangaza msiba wa Ruge. Mh ali tweet kuwa ameguswa na msiba.
Director kashamtema mmewee heee!kumbeeeeShoga director kaniacha hoi? Halafu nasikia mume wake kaachana nae mwenzangu! Yule baba waliyefunga ndoa kwa mbwembwe kibao!
Bado shoga ake Junaither nae na yule marioo wake Mussa hahaaaaa
Yule kigogo hakuwa akiitwa Liyumba kweli? Ila yule baba nae kaacha orodha ndefu? Nasikia hadi mke wa machache mdomo koma [emoji40][emoji40]
Kweli, kujikubali ndio kila kitu.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mnooo!!!alikua anampa kibri na nguvu alifanya figisu mpk dina marios akapunguzwa Clouds na mmewe ncha Kali!halafu nafikiri ncha Kali na dina nao wameachana!!!Nimesoma baadhi ya comments za wadau inaonesha marehemu ndio alikuwa jeuri yake. Analia na mengi, mimi naamini kilio chake ni genuine kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app