Kwa taarifa zisizo rasmi ni kwamba kila atakaye udhuria atapewa huduma kama malazi na kula
Raise alimchangia mil 5 , nasikia hata mchonga hakufa tarehe 14;wanafanya hivyo ili kuweka mazingira Kwanza na mipango ya awali
Kwan ni mtanzania gani aliyetoa mchango mkubwa wa matibabu?
Ungetoa hata m30 kwa wewe basi ingekuwa wa kwanza kupata habar
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeuliza na Ungeenda wakati yuko hai ingesaidia.!
!
Ila Kweli Alikuwa Hospitali Gani Kwanza?
Yes Liyumba,Kumbe aliachana na mmewe. Maana inasemekana wote wawili walioana wakiwa wameungua. Sasa kaamua kuzaa na nani sijui. Mji wa Dar una mambo.
Yule ni mtu mzima ana maamuzi...Hizo zilikua tetesi tu hasa alipokua akivaa kanzu ila familia yake sidhani kama ingekubali
Yani mapinduzi ya movie ambayo yeye kachomeka scene tu. Sasa atatia akili na child support ndo imeondoka. Maana Ruge mwenyewe kaacha utitiri wa watoto mama wenyewe ndo hao. Ndugu wa Ruge hawatahudumia kama alivyokuwa anahudumia Ruge. Sasa ndo atajiita mjane ili wonderwomen wawe wanamchangia.
Hiyo ngwengwe inasemwa siku nyingi alimuwa nayo..Mbona wanasema Nandi alipokuwa na mimba alipima ngwengwe pia. Akakutwa kishaungua ndo akaamua kutoa na mimba. Tena kipindi hicho marehemu ndo kaanza kuugua. Nadhani alikuwa kishatoka India.
Hiyo ngwengwe inasemwa siku nyingi alimuwa nayo..
lakini mbona zama wameishi na wamezaa vizuri tu?
N a si huyo tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!Hakuna sehemu nimesema wameachana bali mmoja alitoswa. Mengine inawezekana zama alichoka kurushwa roho na wake wenzie. Kuna mmoja alikua na mimba wacha avae mashati ya R na kujipost mtandaoni
Sio kweli ITV walitangaza nikaweka clouds walikuwa wanapiga muziki kawaida na matangazo ya biashara baada ya takriban dakika 15 Meena akataka kutangaza akashindwa ndo Millard akamalizaNo mimi nimesikia kupitia kipindi cha Millard Ayo Kabla ya saa mbili akisema wsnakatisha matangazo Kutokana na taarifa za msiba...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe secretary wa TMT unamuita Zamaradi hajielewi??? Tena kazi yenyewe uliipata kwa sababu ya kupigwa mambo na bwana wako The Bold ambae ana Urafiki na Ontario.Sidhani, nadhani walishashindwana maana Zama mjuaji sana.
Alisema hajaajiriwa, atakuwa anaprovide content tu, mara juzi kaja na YouTube Channel na mambo mengine mengi.
Hajielewi yule
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyo Dina mwenyewe si mtu vile vile...Nipo Madame, sema tu tunapishana humuhumu.
Zama ni mnafiki sana. Unaambiwa mpaka aliigawa clouds sababu ya roho yake mbaya juu ya Dina. Yani alikuwa akijua unampenda na kumsapoti Dina atakufanyia majungu kwa ‘baby dady’ hadi ukomeshwe.
Hata alivyoondoka Clouds wafanyakazi walifurahi sana.
Kuna siku Diva alitaka kumchamba nadhani alikatazwa na wakubwa zake na bila shaka ni Ruge mwenyewe.
Zile audio zitamtafuna mpaka mwisho wake, hakuna mtu yeyote mwenye hekima aliyefurahia lile.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ndio kwa wazazi wake.Hapo ndio kwao?
Alimvua nguo ndio lakini hata yeye alijivua na ile kitu tayari imeshakuja public hata miaka 20 ijayo akina Shubi watakutana nayo hivi unadhani watamuelewaje mama yao?Huyo Dina mwenyewe si mtu vile vile...
Zama kavujisha kumvua nguo kama yeye anavyoadhiriwa na jamaa.
Na aliona ile ndio njia nzuri ya kumlipa jamaa pia kuwaonesha hao kina nandy kwamba jamaa kaoza kwake...
Simlaumu sana...
Anga la washenzi...
Sent using Jamii Forums mobile app