TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Kwa taarifa zisizo rasmi ni kwamba kila atakaye udhuria atapewa huduma kama malazi na kula

Kula na kulala siyo kipaumbele cha msibani, ifahamike kuwa kila anayekuja hapo lengo ni kufanikisha mapokezi na mazishi ya marehemu, in other words, mtu awe tayari kulala hata kwenye mti kama ana dhamira ya kweli katika shughuli ya msiba
 
Familia tena msemaji wa familia ndiye mtu pekee mwenye haki ya kutangaza tukio la kifamilia. Kwa sababu ya haki hiyo pia ndiye mtu pekee anayeweza kuamua nani atoe taarifa kwa umma.
Kwa ajili ya upungufu wa ubongo wako unaanza kuhoji juu ya mtu alotangaza kifo wewe ni nani kwenye familia ya Ruge.
 
Yes Liyumba,Kumbe aliachana na mmewe. Maana inasemekana wote wawili walioana wakiwa wameungua. Sasa kaamua kuzaa na nani sijui. Mji wa Dar una mambo.

Director kashamtema mmewee heee!kumbeeee

Sent using Jamii Forums mobile app

Hata nilikuwa sijui ndio nikapewa ubuyu zilipotoka picha zake za baby shower kuwa alishaachana na mumewe na sasa hivi ana kiben10.

Ila director nae kutaka kutesa tu kiumbe, utu uzima ule bado anazaa? Mimi nilidhani ana uzazi wa matatizo maana sio kwa kuzaa kuke mtoto yule mmoja tu kumbe aliamua tu? Yule bila shaka yupo kwenye 40’s


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hizo zilikua tetesi tu hasa alipokua akivaa kanzu ila familia yake sidhani kama ingekubali
Yule ni mtu mzima ana maamuzi...

Angefanya kwa siri...uislamu kwa wahaya upo sana tu!

Tatizo alikuwa ni yeye... alipoamua hivyo ilikuwa toolet!

Hakutulia ... ila kwetu makosa ya mwanaume hayaonekani
yatasemwa ya mwanamke tu!




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani mapinduzi ya movie ambayo yeye kachomeka scene tu. Sasa atatia akili na child support ndo imeondoka. Maana Ruge mwenyewe kaacha utitiri wa watoto mama wenyewe ndo hao. Ndugu wa Ruge hawatahudumia kama alivyokuwa anahudumia Ruge. Sasa ndo atajiita mjane ili wonderwomen wawe wanamchangia.

Hahaaaaa Madame umeniacha hoiiiiiiii. Ila Zama kapotezewa sana, naona hata Clouds wenyewe hata kumpost tu hawajampost nasikia hata familia hawana muda nae, tusubiri hiyo April waizindue maana sio kwa majigambo yale kumbe hamna lolote.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mbona wanasema Nandi alipokuwa na mimba alipima ngwengwe pia. Akakutwa kishaungua ndo akaamua kutoa na mimba. Tena kipindi hicho marehemu ndo kaanza kuugua. Nadhani alikuwa kishatoka India.
Hiyo ngwengwe inasemwa siku nyingi alimuwa nayo..
lakini mbona zama wameishi na wamezaa vizuri tu?
N a si huyo tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ngwengwe inasemwa siku nyingi alimuwa nayo..
lakini mbona zama wameishi na wamezaa vizuri tu?
N a si huyo tu...

Sent using Jamii Forums mobile app

Shoga unajua kama Zama huwa hanyonyeshi watoto? Sababu unaijua? Mahaba yasikupotoshe dear, kwahili tumsitiri sio vizuri kujadili afya za watu.
Umbea mwingine tuuseme ila la afya yake tuache wapendwa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
No mimi nimesikia kupitia kipindi cha Millard Ayo Kabla ya saa mbili akisema wsnakatisha matangazo Kutokana na taarifa za msiba...

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli ITV walitangaza nikaweka clouds walikuwa wanapiga muziki kawaida na matangazo ya biashara baada ya takriban dakika 15 Meena akataka kutangaza akashindwa ndo Millard akamaliza
 
Sidhani, nadhani walishashindwana maana Zama mjuaji sana.
Alisema hajaajiriwa, atakuwa anaprovide content tu, mara juzi kaja na YouTube Channel na mambo mengine mengi.
Hajielewi yule


Sent from my iPhone using JamiiForums
Yaani wewe secretary wa TMT unamuita Zamaradi hajielewi??? Tena kazi yenyewe uliipata kwa sababu ya kupigwa mambo na bwana wako The Bold ambae ana Urafiki na Ontario.

Na tena mkaishia kutapeli watu na JP Market yenu. Hiyo ndio akili kubwa mliyonayo , sio !!!


Nimeanza kuamini mchawi wa mwanamke ni mwanamke mwenzake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo Madame, sema tu tunapishana humuhumu.

Zama ni mnafiki sana. Unaambiwa mpaka aliigawa clouds sababu ya roho yake mbaya juu ya Dina. Yani alikuwa akijua unampenda na kumsapoti Dina atakufanyia majungu kwa ‘baby dady’ hadi ukomeshwe.
Hata alivyoondoka Clouds wafanyakazi walifurahi sana.
Kuna siku Diva alitaka kumchamba nadhani alikatazwa na wakubwa zake na bila shaka ni Ruge mwenyewe.

Zile audio zitamtafuna mpaka mwisho wake, hakuna mtu yeyote mwenye hekima aliyefurahia lile.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyo Dina mwenyewe si mtu vile vile...

Zama kavujisha kumvua nguo kama yeye anavyoadhiriwa na jamaa.

Na aliona ile ndio njia nzuri ya kumlipa jamaa pia kuwaonesha hao kina nandy kwamba jamaa kaoza kwake...

Simlaumu sana...

Anga la washenzi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Dina mwenyewe si mtu vile vile...

Zama kavujisha kumvua nguo kama yeye anavyoadhiriwa na jamaa.

Na aliona ile ndio njia nzuri ya kumlipa jamaa pia kuwaonesha hao kina nandy kwamba jamaa kaoza kwake...

Simlaumu sana...

Anga la washenzi...

Sent using Jamii Forums mobile app
Alimvua nguo ndio lakini hata yeye alijivua na ile kitu tayari imeshakuja public hata miaka 20 ijayo akina Shubi watakutana nayo hivi unadhani watamuelewaje mama yao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom