TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba


upeo wa vijana wa Kitanzania aina hii ni wa kusikitisha sana. duh
 
haswaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamlipie watu? weeee acha hizo we ndo una lugha mgando, kifupi walijipendekeza kumlipia ili wajione ni wao wamefanya sababu waliona talent iko hapo, kama wewe hujaona watu wanavyojipendekeza kwako huna kipaji wewe. watu hawana aibu. talanta inajilipia.inajibeba.inawaka nyamaza kabisa usrd
 
There is no need to create unnecessary animosity between us.
You follow your culture, taboos and I follow mine. How about it?
Simple like that.

Trying to force others to follow your culture that is brutal. And that is uncivilized way of making new friends.
 
Sasa kama talanta ipo kwanini anapagawa?afu hujanisoma vizuri nimesema hivi,kama alijiona yuko na talanta si angewaambia wazazi wake( jide) walimpilie hivyo vitu aliasinyonywe na hao!? Grow up man ukikubali kusimamiwa jua watu wameinvest pesa zao sio ujamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…