Ibofwee
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 1,305
- 2,452
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi pia nilijua wa kike aisee mwache bwana ndio hobby yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wewe ni zuzu kiasi hiki? Kuna mahala unaweza kupa_quote kuwa nimesema kuna chombo cha habari hakina leseni ya kutoa habari acha kunichosha aiseeView attachment 1035960
Sizani kama shule umeenda wewe na unaelewa kuhusu swala zima la media vizur!! Hakuna chombo cha habar ambacho hakitakuwa na leseni ya kutoa habar whether n social news or news nyingine usikurupukie vitu kwa mbele kijana
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ndio lishakua sasa kama unapingana na mwenye taifa na wewe toa tu piki piki ya taifa ifanye kaz kama rambirambiWewe ni mpuuzi na haujielewi.
Tangu lini taifa likawa mali ya mtu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama zimefungiwa clouds si zikapigwe hata radio one, kwani lazima iwe clouds tu.?Hivi ilikua ni lazima kufungia kupiga ngoma za Rubi Clouds kwa sababu tu alisusa shows za Fiesta kwa malipo kiduchu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajiona Kama malaika wiki iliyopita alienda pale kawe anajifanya anawambea Wana dar nilicheka sanaRuge alipokuwa hai alimfanyia kila aina ya ubaya, leo anatokwa jasho akijifanya kaguswa na msiba.
Jana muda wote aliyafunika macho yake na miwani mieusi ili tusiweze kung'amua unafiki wake.
Karma is a bitch..let's wait.
Eti babu tale!!!Uongo mkubwa huu, leta ushahidi mkuu kuwa diamond anahisa chache pale wasafi media usilete maneno ya mtumwa wa ngono mange kimambi.
.
Sizani kama unamjua vyema salam sk na babu tale wao ni zaidi ya ruge mutahaba kimitazamo na kiufanisi likija suala la muziki
Nilimuona akilibeba jeneza akiwa mstari wa mbele, kweli kuna watu hawana aibu asilani
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na kua Ruge alishajijengea jina kubwa ktk jamii ila wakati mwingine unawaza mbona huu msiba umekuzwa sana, ndipo utabaini kuna watu wameplan kuutumia kisiasa...
Nashuka chin hapo Mara moja kwa mzee samikeUmeenda wapi
[emoji375][emoji375]
Bukoba asikanyage. Atashughulikiwa.Anaweza enda mpk bukoba kuhakikisha Kama kweli anazikwa maana ruge alimtetemesha
Sent using Jamii Forums mobile app