Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa akisoma hapa si atajua ni wewe😂😂😂😂😂,shauri yako akakushtaki
Hujui maana ya 'BANTUS'' mila zao zinafanana tu.hata ufanyeje.Si unataka tusiuge au sio?
Basi usitake tuige mila ya kwenu ya kutochimba kaburi kabla ya siku ya kuzika.
Kwetu hatudhuriki kutofuata mila hiyo.
Kuna sehemu huko Kagera watu wanachimba makaburi yao na kuyajengea wakati wao wapo mbali na huko na yanakaa miaka kuwasubiri wakifa.
Hivi sasa Wasafi tv wako live (mubashara) kwenye ukumbi wa karimjee kumuaga aliyekuwa mkurugenzi wa uzalishaji wa vipindi vya clouds.
.
Sasa wale ndugu zangu ambao mna chuki na Diamond Platnumz mliokuwa mkimsema kuwa hajaguswa na lolote semeni tena
Acha unafiki weweInauma sana sana unapokuwa ulimfahamu mtu na wanafamilia wote.
Nina ganzi
Shost...Domo kaja sasa hivi karimjee msibani, kazomewaje[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Nandy ndo alikua official mchumba mpya ambae angeolewa na Mr.Ruge Mmesikia umbea somewhere hukooo!!!
Ndo maana yuko mbele mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamefanya vizuri sana kumzomea na akamsimulie mama yake
Hata kwenye comments insta. Anataka Asifiwe tuuu. Hata kama hajapendezamashabiki ndo wanamfanya awe hvyo..si unaikumbuka ile blog yake wakat ule yaan waja wanamsifu tu ..khaa!ohh una busara sana😂😂..mie nnamwelewa sana gea habibu..hafae .sipend jitu linalojifekisha
Usilazimishe mambo ya kusoma vitabuni.Hujui maana ya 'BANTUS'' mila zao zinafanana tu.hata ufanyeje.
Mbona unalia kabisa?. Kisa Diamond hajaenda msibani? Watu mnakosa kazi za kufanya.Tuseme.kweli hakuna kijana alokuwa anawasaidia wenzake kama Ruge,
Akina diamond muda huu wanajifanya hawakupata mchango wowote kwake lakin Mungu ndo anajua
wewe pimbi ndio umeandika nn hapo. Your thinking capacity is 0.U stupid wake uko wapi? Unaijua nafasi ya Rais kwa taifa wewe?
Rais anapaswa kutangaza vifo vifuatavyo.
1.Makamu wa Rais
2.Waziri mkuu
3.Rais mstaafu
Hata kifo cha mke wake au mama yake Rais hatakiwi kutangaza yeye binafsi, bali kurugenzi ya mawasiliano ikulu,kama hujaelewa rudi darasani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Nandy ndo alikua official mchumba mpya ambae angeolewa na Mr.Ruge Mmesikia umbea somewhere hukooo!!!
Ndo maana yuko mbele mbele
Sent using Jamii Forums mobile app