TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ,Paul Makonda amemlilia Ruge machozi kama mtoto ndogo wakati wa shughuli ya kumuaga marehemu Katika ukumbi wa diamond Jubilee .Tukio hili limetokea muda mfupi uliopita ,takribani SAA moja iliyopita hivyo kuwashangaza watanzania, kwani bifu la makonda na Ruge linafahamika na kila mtu .Sasa buku kumlilia marehemu ambaye una uhusiano naye mbovu kimeshangaza sana .
Anajua yeye nini kinamliza.yaweza yasiwe yale unayoyajua yaan msiba n.k.
 
Clouds wanajua sana kumnyenyekea nyapala makonda..hivi unampaje airtime mtu km huyo jaman...!shenji
Kwamba nyie Bavicha ndio mnamjua Makonda vizuri kuliko clouds?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Kwamba nyie Bavicha ndio mnamjua Makonda vizuri kuliko clouds?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.

😏😏😏😏😏
 
Uliambiwa makonda alienda kuua mtu?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
alienda na mabunduki studio ili kwenda kulinda ile flash eeeh? kwann wale wapuuzi/ walificha sura nadhan wewe ni stupid wa mwishoo
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ,Paul Makonda amemlilia Ruge machozi kama mtoto ndogo wakati wa shughuli ya kumuaga marehemu Katika ukumbi wa diamond Jubilee .Tukio hili limetokea muda mfupi uliopita ,takribani SAA moja iliyopita hivyo kuwashangaza watanzania, kwani bifu la makonda na Ruge linafahamika na kila mtu .Sasa buku kumlilia marehemu ambaye una uhusiano naye mbovu kimeshangaza sana .
Ana machozi ya karibu na kulialia ni jadi yake... japo machozi yake yamejaa unafiki mkubwa... Yanaitwa machozi ya mamba.... BTW mtoto wa kiume tena kiongozi kulialia mbele ya hadhira sio dalili nzuri sana

Jr[emoji769]
 
Mkuu usijiabiahe kiasi hiki.
Umesema TCRA hawawezi kuweka tangazo kama hilo ambalo linaonesha hisa za wamiliki lakini jamaa kakuwekea matangazo kama hayo ambayo bado yapo kwenye archive ya TCRA online unadai uletewe tangazo la Wasafi TV likiwa kwenye tovutibya TCRA.

Kama haujajipa muda kutafuta habari mitandaoni na maktaba zingine bora unyamaze.

News media kubwa kama mwananchi nao huwaamini? Wanaweza kuweka habari kubwa namna hiyo bila kuthibitisha uhalisi au ukweli?

Soma hiyo link chini
Wamiliki Wasafi TV waanikwa, hisa za Diamond ni asilimia 45
Mkuu ameelewa ila si unajua mtu mzima kukiri hadharani kuwa 'I was wrong' kwa watu wengine ni jambo gumu sana hebu jaribuni kumuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[QUOT"johnthebaptist, post: 30603484, member: 228646"]Mkuu mbona povu kama kamanda wa Ufipa?!
Nawe ni mmoja kati yao! Usijishaue hapa kama uliyefumaniwa! Utaumbuka mnafiki wewe, siku yako yaja![/QUOTE]
Hahahaa......bwashee mbwiga umemuaga Lowassa?
 
Back
Top Bottom