Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
Cha akili ni kipi?Ujinga mtupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cha akili ni kipi?Ujinga mtupu.
kabisaKuna watu wanaumizwa sana na upendo ulioonyeshwa na jamii kwa marehemu Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cement, yale matofali na zile tiles za bei poa ndo inafika 4,000,000 hawa wangejenga kaburi kama la H.I.D Awolowo kaburi lenye Air Condition wangesema kaburi limefika 50,000,000
Wakati mpaka sasa hakuna anayepajua nyumbani kwa marehemu miaka 49 kuishi kwa wazazi lazima kuna tatizoHiyo pesa ingesaidia watoto wake wanaosomaUjinga mtupu.
Kuna mengi unatakiwa ujifunze, kumbe unafahamu kuwa BRELA ndio wasajili wa kampuni, Sasa sema Licence ya Biashara na Usajiri wa kampuni UPI uwa unaanza!?Nadhani wewe ni tahira, kwa mujibu wa wadau mafala kama wewe wanaoni_attack wamenieleza kinagaubaga kuwa hiyo document ya mange ya kuonyesha nani ana own nini na nani ha_own nini imetoka TCRA na kadri nilivyokuwa nikibisha wakanieleza niingie katika tovuti ya TCRA kujilidhisha ili niache kubisha.
.
Sasa naomba unijuze brela wanasajili majina ya kampuni au wanatoa license za media? Maana form ya mange siyo ya brela ni ya TCRA tena ya maombi ya kupatiwa license
Kwa kaburi la ghalama hii THE DUDU atengue kauli yake ya kuwa atakuwa mkono wa kushoto.Fundi ambaye yuko msibani ameeleza kwamba ujenzi wa kaburi la Ruge Mutahaba umegharimu sh, 4,000,000 za kitanzania
Yaalah!clouds bana kama kuna kitu wanajua ....ni kufanya promo / marketting......jambo lao lazima litakua la nchi nzima (thanx to the late ruge)...yani hyo fiesta ukiisikia inavyotangazwa na ukienda kuionaa....unaweza baki mdomo wazi!...we jiulize tuu clouds wameajiri watu wangapi...lakini ni ma elfu ya wa tz wana mrefer to jamaa as "boss ruge"....yani ukiangalia tv hapa juzi baada ya msiba...unaweza jukuta unalia unajiuliza ivi bila boss ruge mimi ningekua wapia aisee.....baadae akili zikikurudia ndio unasema "allah, ivi mimi kumbe ni mwalimu tuu washule ya msingi fulani , hata Ruge mwenywe nilikua simjui,,,shetani shidwaaa!"
clouds bana kama kuna kitu wanajua ....ni kufanya promo / marketting......jambo lao lazima litakua la nchi nzima (thanx to the late ruge)...yani hyo fiesta ukiisikia inavyotangazwa na ukienda kuionaa....unaweza baki mdomo wazi!...we jiulize tuu clouds wameajiri watu wangapi...lakini ni ma elfu ya wa tz wana mrefer to jamaa as "boss ruge"....yani ukiangalia tv hapa juzi baada ya msiba...unaweza jukuta unalia unajiuliza ivi bila boss ruge mimi ningekua wapia aisee.....baadae akili zikikurudia ndio unasema "allah, ivi mimi kumbe ni mwalimu tuu washule ya msingi fulani , hata Ruge mwenywe nilikua simjui,,,shetani shidwaaa!"
In upumbavu sio ujinga.Ujinga mtupu.
unakubaliana kwa ujinga
kama una akili timamu, ukazipitia project za Ruge na alichofanya, ungeona anastahili
unaanzaje ku overate maiti??'
jinga wewe