Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm sijawaona kbs baby mamaz wakeJamani sijamuona Saida Karoli kbs kwny msiba
Kabisa mkuu..athar zake ndio hizi...Nategemea hilo, but as long as watanzania tumezoea kuishi katika unafiki toka utotoni kwa kigezo cha kuonekana watiifu tu mbele za watu, impact yake ndio imetufikisha hapa!
Wewe na yeye nani atatangulia kufa?Siku lowassa akifa nitawekwa ndani kama dudubaya maana yule ni malaya wa siasa na nitalisema siku akifa
[emoji848][emoji848][emoji848]hiii kweli ama?????View attachment 1037522 jaydee msiban kwa Ruge PICHANI Akiwa Na Mwanafa Baada Ya Kuwasili Uwanja Wa Ndege Wa Bukoba Mapema Leo Asubuhi .
that is photoshop kuna element nyingi sana za kuprove kwamba ni photo shop angalia vizuri Blbega la kulia la mwanaFA utaona alama za kukata picha,angalia uso wa mke wa FA na mkono uliomshika bega jide
Babu tale ni mwanafunzi wa abdu bonge sasaHakuwa wa kwanza alikuja baada ya Mkubwa fella ni wa kwanza na mpaka sasa yupo.
Hebu nenda uniangalizie kama jide amefika hapo alaf unitagMsiba huu umenikuta Bukoba ,kashasha, sasa ntalazimika kufika,
This guy was smart for sure
Yaaaani!!!!, eti nifungulie nimuone babaaaaaa, mara paaa kazima,.Mungu wa ajabu sana.... Barnaba kile kilio ni zaidi ya kufiwa na Mzazi
Yaaaani!!!!, eti nifungulie nimuone babaaaaaa, mara paaa kazima,.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]alikuwepo bhana tena kama kawaida yake kuvaaa sijui madela sijui ni kanzuLe Mutuz hakuwepo katika kuaga mwili, na yule hakosi shughuli