Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Ruge yule msela aliyezaa na Zamaradi au? Hako kajamaa nako si kajinga tu...Mimi kuna siku nilitaka kukakunja...Ni kahovyo sijawahi kuona..kamefanana na Mchomvu wanatofautiana vyeo tu.!!
Kitendo cha Adam Mchomvu, Dj Fetty na B12 kupigana studio leo mchana.
Boss wao Ruge Mutahaba ameahidi kutoa tamko kesho.
Source: Millard Ayo
yaani kutoa tamko unatoa taarifa......
Japo si msikilizaji mzuri wa radio nahisi maigizo yalipitiliza zaidi ya script.
ili wananchi wengi wapate kuisikiliza redio ya mashoga
Wakuu wengine hatusikilizi hiyo redio so hatujui kilichotokea, mtupe habari kamili SI nusu nusu
Ni Ruge yule msela aliyezaa na Zamaradi au? Hako kajamaa nako si kajinga tu...Mimi kuna siku nilitaka kukakunja...Ni kahovyo sijawahi kuona..kamefanana na Mchomvu wanatofautiana vyeo tu.!!
miss neddy hapa kuna magari? Lol
miss neddy hapa kuna magari? Lol
Aiseee leo nimeshangaa sana nilipokuwa naskiliza Cloudz XXl, nilijua maigizo kumbe kweli.