Hakuna siri,pesa zililipwa kwa kutumia account za wahusika.Acconts zina wenyewe.Pole Tata Ruge! Kwanini usiuseme ukweli unaoujua juu ya waliochota fedha za wananchi? Sio sahihi sana kukaa na Jambo ambalo wewe unaliona Siri ilihali kwa wengine lipo wazi! Kama Havana wa bot anayajua majina Basi siyo Siri Tena! Wataje Tena kwa sauti kwani naamini una ushahidi wa kutosha! Huna unaloliogopa Wala kupoteza Bali kuwataja hadharani itakusaidia kuutua mzigo mzito ulioubeba moyoni na huenda ukapata nafuu ya ugonjwa wa moyo! Wataje hata Leo ili historian ikuhukumu kwa haki!
Aliwahi fanya kazi BOT halafu jamaa ana mpunga toka miaka ya 90, nenda bukoba kule ana ghorofa kwenye compound pale beach ziko mbili zimejengwa in search away zinabak za kisasa toka miaka 90 uwa anazikodi kama makazi au ofisi za mashirika makubwa, ziliwahi kodiwa na UNDP, World Bank na mashirika mengine.
Anajiita Nyoka wa makengeza, alishasema kuwa wanaweza kumkamata lkn siyo kumfunga maana hawataweza.
In God we Trust
Spika ajaye!Huyu mwamba ni balaa.
Kwahiyo wa miaka 2 hatakiwi kulalamika kisa kuna wa miaka 7 upelelezi haujakamilika?Haahahahahahahahah
Eti inauma sana upelelezi miaka 2 haujakamilika. Masheikh upelelezi wao miaka 7 sasa haujakamilika
Hao wa kwenye account ndio hawa akina chenge,Tibaijuka,Ngeleja Nk!Sasa kuna wale waliochota mabilioni cash wakabeba kwenye sandarusi kutoka Bank na kutokomea zao!Hawa ndio mpaka leo wamefanywa siri!Hakuna siri,pesa zililipwa kwa kutumia account za wahusika.Acconts zina wenyewe.
Hela za mboga ukijengea miundombinu ya shule, halafu mboga itanunuliwa na nini?Tibaijuka yeye alishasema atarudisha alizitumia kwa kujenga miundombinu ya shule yake
Wanaweza kumpotezea hukohuko likarudi jina uraiani, tuzidi kumwombea.Mzee Ruge hana hatia.
Japo haki yaki inacheleweshwa lakini mwisho wa siku atakuwa huru
Kwani zito anasemaje?Inajipambanua kinyume na uhalisia... 1.5T zipo wapi..??
All criminal cases are civil but not all civil cases are criminal, kwa hiyo madai ya fidia kwenye kesi kama hiyo ni maintainable before the law.Jinai haina fidia bwashee!
Tena wanatamba. Dah!Kweli CCM ni chama cha kupambana na mafisadi (ila mafisadi wa nje ya CCM tu). Mafisadi wa ndani ya CCM wana kinga maalum. Marufuku kupelekwa mahakamani wala kupelekwa kwenye "KAMATI KUU YA CHAMA" kuwajibishwa.
Wafuasi wa CCM waliopewa hela za "ESCROW" wapo mtaani wanakula bata, wanaendesha ma Land Cruiser VX, na wengine bado wapo bungeni.
Huyu mzee nimetokea kumuamini sana anajiamini na anaamini kabisa hana makosa lakini haya wanayomfanyia mzee wa watu na kama hana makosa basi mimi naamini Mungu yupo na atamlipia katika dhulma.Rugemalira anatukumbusha kujipambania na kuwapambania familia au ndugu.. ipo siku atafanikiwa katika vita yake
Hivi wakionekana hawana hatia watapewa fidia?