Rukwa: Amuua mjamzito na watoto wawili kwa deni la Tsh. 100,000

Dah yule jamaa ametuachia legacy roho ya visasi na ukatili,tunamuenzi kwa vitendo
Hizi ni laana zinazolikumba Taifa baada ya kumuua mtu asiye na hatia.
Na bado tusibotubu na kusali ni mengi yanakuja, damu ya mwenye haki kamwe haiendi bure.
Na mbaya zaidi sijawah kumsikia Hangaya a.k.a Simba jike akimtaja Mungu hata kwa bahati mbaya.
 
kila mmoja kwa imani yake alikumbuke taifa akiomba ,tuombee uchumi wa mtu mmoja mmoja maana ukiangalia chanzo kikuu cha mauwaji ya hivi karibuni ni uchumi ,,,watu hawana hela basi wanakuwa na hasira hasira na kwenye hasira ndipo yalipo makazi ya shetani 😭
 
Hata angekuja humu jf angesema anamdai mjamzito hiyo pesa tungemchangia na ingefika angepata pesa yake.. haya angalia anaenda jera bure kwa ajili ya pesa mbuzi laki moja.. JINGA TU
 
Nilipenda toka miaka na miaka Tanzania kumtanguliza Mungu, utasikia Asalaam alyekum,Bwana asifiwe, tumsifu Yesu Kristo, na mengineyo mengi. Ilikuwa salamu ya kuleta amani na watu kutambua kuna Mungu. Hata Marekani na ubabe wao, wanamtanguliza Mungu katika chochote utasikia "God Bless America" Ati siku hizi tunajifanya hatuhitaji kumtaja Mungu.

Mungu ni wa ajabu, ni Mungu wa sifa, umtajapo au kumuita tu kuna jambo ufanya. Ukijifanya mjanja Mungu ataondoa amani na kuleta vurugu. Sioni kiongozi mkuu wa nchi akikemea au kuongelea mauaji yanayo endelea. Kuwataka wananchi wafikirie maamuzi yao kwanza kabla ya hatua, na kumtanguliza Mungu mbele. Kiongozi wa nchi akisema jambo ufanya wananchi wake watafakari. Mpaka kufikia 2025 tutashuhudia mengi.
 
IGP Sirro alikwisha sema tuangalie majina tunayowapa tunaowazaa, na hii inathibitishwa natuhumiwa.
 
Mimi naweza kusema Asalam aleikum au Bwana Yesu asifiwe na nikawa Shetani tuuuuu............
 
Tutangaziwe state of emergency ikibidi tujue maana kinachoendelea ni hatari sana.
Je, hapa tulipo bado ni sehemu salama kuishi?
 
nani alimuua...............acha kujitafutia dhambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…