Hizi ni laana zinazolikumba Taifa baada ya kumuua mtu asiye na hatia.Dah yule jamaa ametuachia legacy roho ya visasi na ukatili,tunamuenzi kwa vitendo
Na ibada wiki nzima... huu mwaka umeanza vibaya sana! Tuwe na siku ya kitaifa ya kupinga mauwaji.
Mbowe anahusikaje humu au ni bwana wakoAcha upumbavu wee nyumbu, unafikiri mbowe ni malaika?
Ni kinyume chake. Mungu anawaadhibu kwa mlichomfanyia hadi mtubu!Dah yule jamaa ametuachia legacy roho ya visasi na ukatili,tunamuenzi kwa vitendo
Tumemfanyaje tena,yule mwamba kuna mtu angethubutu kula njama against yeye kweliNi kinyume chake. Mungu anawaadhibu kwa mlichomfanyia hadi mtubu!
Nilipenda toka miaka na miaka Tanzania kumtanguliza Mungu, utasikia Asalaam alyekum,Bwana asifiwe, tumsifu Yesu Kristo, na mengineyo mengi. Ilikuwa salamu ya kuleta amani na watu kutambua kuna Mungu. Hata Marekani na ubabe wao, wanamtanguliza Mungu katika chochote utasikia "God Bless America" Ati siku hizi tunajifanya hatuhitaji kumtaja Mungu.Hizi ni laana zinazolikumba Taifa baada ya kumuua mtu asiye na hatia.
Na bado tusibotubu na kusali ni mengi yanakuja, damu ya mwenye haki kamwe haiendi bure.
Na mbaya zaidi sijawah kumsikia Hangaya a.k.a Simba jike akimtaja Mungu hata kwa bahati mbaya.
acha chukiTaifa lililokosa uongozi ni Taifa mfu.Mauaji ni kila siku na ni kila mahali huku takataka fulani ikijiita kuwa ni Chui jike!
upo sana ndugu yangu usiombe yakukute kwa ndugu au jamaa yako tena hawa ndo wanaua vibayaa unaowasujudia mpka kuwaita whiteHii ndiyo Afrika na wa2 wake, kuna maji2 haya imani hata wakina chui na simba wanaafazali. Unyama huu uwezi kukuta kwa white
ACHA UPUMBAVUTaifa lililokosa uongozi ni Taifa mfu.Mauaji ni kila siku na ni kila mahali huku takataka fulani ikijiita kuwa ni Chui jike!
IGP Sirro alikwisha sema tuangalie majina tunayowapa tunaowazaa, na hii inathibitishwa natuhumiwa.JESHI la Polisi mkoani Rukwa limemkamata Philipo Vincent (22) kwa tuhuma za kumuua kwa kumkata mapanga mjamzito na watoto wake wawili.
Jeshi hilo limesema wakati wa kumhoji, mtuhumiwa huyo alidai kuwa alikuwa anamdai mjamzito huyo gunia mbili za mahindi.
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Rukwa, Theopista Mallya, alisema kuwa polisi walifanikiwa kumkamata mtuhumiwa huyo kwa kuwa alijaribu kujinyonga ndipo walimkamata, na walipomuhoji alisema kuwa anataka kujiua kwa kuwa hana amani baada ya kufanya mauaji hayo.
Mallya alisema walipomuhoji zaidi, alikiri kufanya mauaji hayo kwa kuwa alikuwa amemkopesha gunia mbili za mahindi na alipomdai alionekana kufanya ukaidi wa kumlipa.
Alisema kuwa mtuhumiwa huyo alipokuwa akienda kwa mwanamke huyo kudai fedha Sh. 100,000 alimjibu kuwa asimdai kwa nguvu kwa kuwa hakumlazimisha amkopeshe, kauli iliyomuudhi mtuhumiwa na kuamua kufanya mauaji hayo.
"Mtuhumiwa huyo alinunua panga jipya na kulinoa vizuri, na siku ya Januari 14 usiku alikwenda nyumbani kwa marehemu na kisha kufanya mauaji hayo na kutokomea," alisema Mallya.
Alisema polisi walipomuhoji sababu za kuwaua na watoto, alijibu kuwa aliamua kuwachinja kwa kuwa watoto hao walimuona wakati anamuua mama yao na pia wanamfahamu kwa kuwa mekuwa akienda katika nyumba hiyo mara kwa mara kudai fedha, hivyo wangemtaja.
Mapema wiki hii, jeshi hilo lilisema tukio hilo linadhaniwa kutokea usiku wakati mama huyo na watoto wake wakiwa ndani ya nyumba yao, kisha watu waliotekeleza mauaji hayo kuingia ndani.
NIPASHE
Mallya alisema mume wa mwanamke huyo ambaye yuko Dar es Salaam alianza kumtafuta mkewe kwa kumpigia simu, lakini ilikuwa inaita bila kupokelewa.
Alisema alipopiga kwa muda mrefu simu hiyo ilizima, hali inayoonyesha kuwa ilizima kwa kuishiwa chaji na kila alipojitahidi kupiga haikupatikana.
Baada ya hapo alimpigia rafiki yake, Paul Leonard, na kumwagiza aende akaione familia yake na alifika nyumbani hapo saa 2:30 usiku na alishangaa kukuta mlango umefungwa nje kwa kufuli, hivyo aliamua kuwaita viongozi wa kijiji na walipofika na kubomoa mlango na kuingia ndani walikuta mwanamke huyo aliyekuwa na ujauzito wa miezi minane akiwa amechinjwa pamoja na watoto wake Milliam (8) na William (4).
NAUNGA MKONO mama anatakiwa akaze sana kuondooa upumbavu mwingi saana wa nyuma hapo takataka bul shit...........and all thatSide effect za awamu ya tano, unajenga barabara , watu wanakufa njaa mtaani.
Mimi naweza kusema Asalam aleikum au Bwana Yesu asifiwe na nikawa Shetani tuuuuu............Nilipenda toka miaka na miaka Tanzania kumtanguliza Mungu, utasikia Asalaam alyekum,Bwana asifiwe, tumsifu Yesu Kristo, na mengineyo mengi. Ilikuwa salamu ya kuleta amani na watu kutambua kuna Mungu. Hata Marekani na ubabe wao, wanamtanguliza Mungu katika chochote utasikia "God Bless America" Ati siku hizi tunajifanya hatuhitaji kumtaja Mungu.
Mungu ni wa ajabu, ni Mungu wa sifa, umtajapo au kumuita tu kuna jambo ufanya. Ukijifanya mjanja Mungu ataondoa amani na kuleta vurugu. Sioni kiongozi mkuu wa nchi akikemea au kuongelea mauaji yanayo endelea. Kuwataka wananchi wafikirie maamuzi yao kwanza kabla ya hatua, na kumtanguliza Mungu mbele. Kiongozi wa nchi akisema jambo ufanya wananchi wake watafakari. Mpaka kufikia 2025 tutashuhudia mengi.
nani alimuua...............acha kujitafutia dhambiHizi ni laana zinazolikumba Taifa baada ya kumuua mtu asiye na hatia.
Na bado tusibotubu na kusali ni mengi yanakuja, damu ya mwenye haki kamwe haiendi bure.
Na mbaya zaidi sijawah kumsikia Hangaya a.k.a Simba jike akimtaja Mungu hata kwa bahati mbaya.