Rukwa: Amuua mjamzito na watoto wawili kwa deni la Tsh. 100,000

Ni noma watu wamevurugwa sana tunapaswa kujitahidi kuishi clean.

Usidhulumu ,usitapeli,usiibe,usisaliti,usionee watu,usijivune kupita kiasi,usilingishie Mali,

Majanga yakiamua kukukuta yanakukuta tu ila angalau tuepuke vitu tajwa hapo juu tunaweza kusogeza siku!!

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Mimi naweza kusema Asalam aleikum au Bwana Yesu asifiwe na nikawa Shetani tuuuuu............
Hata shetani anatambua nguvu za Mungu. Mungu wetu ni wa upendo habagui, hata ukiwa umefanya baya ukamtaja basi atakusikiliza. Na ndipo amani ukuijia. Ni kwa nini dini zote umtaja yeye. Tafakari Maswala ya Mungu hayana ushabiki. Usilete siasa katika ukuu wa Mungu.
 
Damu ya magufuli inamlilia hangaya.
 
Mimi naweza kusema Asalam aleikum au Bwana Yesu asifiwe na nikawa Shetani tuuuuu............
Hili ni swala la imani zaidi, kwa kusema hivyo shetani unuweka pending in heal kuliko kwenda oyaoya kama mama yako .
 
kuna unafiki wakulitaka bure jina Bwana Mungu..hilo kila mtu anafahamu, si SIASA.
 
walikuta mwanamke huyo aliyekuwa na ujauzito wa miezi minane akiwa amechinjwa pamoja na watoto wake Milliam (8) na William (4).[emoji848][emoji848][emoji31][emoji31][emoji2827][emoji2827]
 
Bora kutomtaja Mungu kabisa hasa unapojua umebeba kichwani dhambi ya kubambikia watu kesi kuliko kumtaja kinafiki huku unajua umebeba dhambi ya mauaji na kujeruhi watu kwa risasi zisizo na idadi.
 
Hata angekuja humu jf angesema anamdai mjamzito hiyo pesa tungemchangia na ingefika angepata pesa yake.. haya angalia anaenda jera bure kwa ajili ya pesa mbuzi laki moja.. JINGA TU
Mtu mwenyewe ana miaka 22 lakini akili za kuzimu.
 
Kuna kutaja jina la Mungu kuficha Uovu yani Mbwa mwitu kuvaa ngozi ya Kondoo na wengi wameshoneana hapa kama si kujazana hapa.
 
Bora kutomtaja Mungu kabisa hasa unapojua umebeba kichwani dhambi ya kubambikia watu kesi kuliko kumtaja kinafiki huku unajua umebeba dhambi ya mauaji na kujeruhi watu kwa risasi zisizo na idadi.
NAKAZIA tena ukitaka kujua mtu mwenye kujutia utamfahamu namna anavyoongea mara nyingi kupayuka payuka si mpango hata BIBLIA ILIKATAA Kupayuka payuka.
1)kuna watu hawawezi unafiki,na hawatafuti huruma ya wananchi
2)Kuna watu wamebobea ni wakufunzi wa Unafiki katika kutafuta huruma za wananchi
awamu ya sita na ya tano kila mmoja hapo ana kundi lake.
 
Mtu unamdai alafu anakujibu kwani nilikutuma unikopeshe? Wakati wa kuja kukopa alikuja ana shida na analia
 
Hakuna namna mtu ananoa panga Na kuua Mama innocent children Pasipo acceleration Fulani ya shetani
Alipomaliza akataka kujinyonga kama yuda baada ya roho ya kuua kumwacha, akarealize alichofanya akataka kujiua
 
Dah huyu pepo wa mauaji atuache kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…