RUNGU: TCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha matangazo kwa Miezi Sita (6) kuanzia leo kwa kurusha Maudhui ya utupu

Nimefurah coz domo anajifanyaga untouchable, huu uzi leo utafikisha 100k views na comments 500k[emoji23][emoji23]
Binamu we kwenye tamasha hakuwepo kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mie ngoja niburudishe wananchi wa JF na songi la wasafi linaloitwa "Magufuli baba lao"!
Your browser is not able to display this video.
 
Hivi hawa tisiaraei hawaonagi vifurushi vya mitandao kila siku wao na tv tu..[emoji28]
Amini!!!

Kifurushi hakina thamani kama mwanao kuonyeshwa tabia mbovu za kipumbavu kutoka kwa mijianaake iliyokoswa kulelewa vyema na mama zao,wawafungie hata maisha kama wanatoka nje ya maadili ya taifa letu hakuna kuoneana huruma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha huhuhuhu hahahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Magufuli BABALAO.

Teh teh teh

Mitano Tena [emoji1787][emoji1787]
hahahahaaahaha na jamaa alitamba mbele ya Magu wakati wa kampen kuwa Magu kawafanya wasanii kumiliki hadi vituo vya Luninga akijimaanisha yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…